Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau nilikuwa naangalia tarifa ya habari ITV nimeona Toyota Landcruiser VX imehuska tena kwenye ajali ambayo imegharimu maisha ya jaji mstaafu Mwaipopo,kilichonifanya niingize hii mada ni kutaka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wapendwa,habari za usiku huu? Naomba msaada namna ya ku-renew ant virus katika lap top yangu. Aina ya ant-virus ninaotumia ni norton na inaishia mwishoni mwa juma lijalo. Tafadhali naomba msaada...
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Scientists find hint of dark matter from cosmosBy JOHN HEILPRIN and SETH BORENSTEIN | Associated Press – 13 hrs ago View PhotoSPACE.com - The powerful Alpha Magnetic Spectrometer-2 (AMS) is...
0 Reactions
0 Replies
540 Views
Wadau naomba kupewa msaada. Tatizo langu kwenye Blackberry version ya Facebook website kuna baadhi ya functions hazipo. Mfano kwenye groups nashindwa kusoma documents,kwenye news feed sipati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau wenye patch ya hiyo program anisaidie AU serier key nimefikia hatua za mwisho nataka niyarudishe mafile yangu natanguliza shukran za thati@
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Imepita mwezi sasa wananchi wanahaha kupata mtandao wa internet ambao uko stable wakati huohuo TTCL wamekaa kimya na kunyamaza kana kwamba hawahusiki chochote na ukosefu huo wa mtandao. MY TAKE...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nisaidieni namna ya kufanya decodage ya tablet yangu ambayo inatumia mtandao mmoja tu nami nataka kutumia mitandao yote please help me!
1 Reactions
2 Replies
811 Views
SIMLOCK block unlock reset KEY..Msaada tafadhali wadau mwenye kuweza ku-unlock .Simu ni Huawei model U8150-D yenye IMEI: 355093044372635
0 Reactions
2 Replies
969 Views
wana jf msaada kwenu napmba kwa wale wenye kujua naomba mnisaidie ni aplication gani naweza kutumia na nika remove password ambayo nimeisahau wakati ninawasha simu ikishawaka inablock na inataka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu wote kwanza natanguliza salam kwenu mambo vipi naombeni msaada kuhusu hii modem modem ni huawei E160e ilikua inatumika france line ya orange jee kwa tanzania inawezekana kutumika kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani habari zenu. Nina printer ya hp laserjet 1010, sasa niliiweka stoo maana nilisafiri kwa muda wa miezi kadhaa, sasa nimerudi nikiprinti naona wino unavuja. nikiifungua ndani na kutoa ile...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada ndugu zangu. Yeyote mwenye ufahamu jinsi ya kuinstall window au office kwa kutumia external devices tafadhali anijuze wakuu.:A S shade::A S shade:
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna jamaa kanipa set up za windows 8 nimejaribu kupiga window kwenye pc ikakaa poa tu ila kuna setings hazipigi kazi na inataka activation keys na mm cna sasa naombeni mnisaidie kwanza...
0 Reactions
2 Replies
837 Views
heshima mbele wandugu, kila ninapofungua jf kwenye laptop yangu inakuwa na maandishi madogo sana, kiasi kwamba hata hayasomeki, hata hivi sasa naandika kwa taaaabu sana. naomba msaada tatizo ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tuliambiwa LCD, LED na PLASMA Tv zina ving'amuzi ndani na hivyo wakizima hizo 'analojia' tutaweza kudaka matangazo ya dijitali bila kutafuta king'amuzi kingine. Tangu waanze kuzima TCRA...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Muungano wa Nchi za Kishoshalisti za Kisovieti (USSR) ulikuwa ni mahiri katika uundaji wa ndege. Moja ya aina nyingi za ndege nyingi zilizotengenezwa na USSR kabla ya kuvunjika kwake mwanzoni mwa...
7 Reactions
19 Replies
7K Views
jamani ndugu zangu nitapata wapi toner origanal kwa ajili ya kujaza kwenye printer yangu. Nipo kariakoo. Pia inauzwaje? Asanteni
0 Reactions
1 Replies
709 Views
Wana JF, Jamani kama kuna duka ambapo zinapatikana au kama unayo ya mkononi naomba unijuze. Nitakupa mawasiliano yangu. Je, nitaipata kwa pesa kiasi gani za kitanzania maana nasikia Rand ya...
0 Reactions
0 Replies
982 Views
I read from gsmarena kwamba Samsung Galaxy Mega handsets with 5.8" and 6.3" screens are coming. Guys, i think this is like violating Smartphone and Tablet screen size limitations. Mimi was though...
0 Reactions
3 Replies
887 Views
Wakuu wasalaam all members of Educational,Tech & Professional Forums Ktk majukwaa hapa JF yanayojenga na kufundisha hili ni moja wapo kama sio linaloongoza. Big up all forum members. Sasa nirudi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom