Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ofisi zake zpo wapi nataka kununua na bei gani?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kichwa cha habar kinaajieleza naomba msaadaa.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kariakoo Online Company Limited is glad to introduce new business model for mobile phone repair,unlocking,flashing etc. From now onwards no need for people around Dar es salaam to have physical...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Gonga hapa upate free online storage https://cub.by/i/01_B8HjPwetK3Z
0 Reactions
0 Replies
624 Views
11/03/2013 Chanzo: Gajetek - Gajet na Teknolojia Sifa Muhimu za Laptop Ya Leo Laptop imekuwa ni sehemu ya maisha ya wanajamii wengi, ni sehemu ya maisha ya kazi, ni sehemu ya maisha ya...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Mwenye softcopy ya kitabu cha Ms Access 2010 Bible naomba aniwekee link yake nimedownload vya Word 2010,Excel 2010 na Powerpoint 2010 lakini Access 2010 sikupata kabisa.
0 Reactions
1 Replies
763 Views
Ikiwa unaona your smart phone has recently become sluggish always lagging and freezing, na tangu uinunue hujafanya updates za base software na haikuwa hivyo mwanzoni na huna muda wa ku update...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Napenda kujua ni kitu gani kinachosababisha clutch plate za gia box auto ziungue, kwani jambo hili limenitokea mara mbili sasa nashindwa kujua nakosea wapi mwenye ujuzi anisaidie
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kufuatia kushindwa kufanya kazi kwa mfumo wa habari ktk uchaguzi mkuu nchini Kenya binafsi napata taabu sana kuelewa kilichotokea. Bado napenda kuamini utalaamu unaotumika kutengeza tuseme ATM...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimeona hii kitu kwenye tiGo leo... Kwa kawaida mimi huwa ni wa mwisho kujiunga na hizi promo,naomba wale wazee wa kujilipua watupatie majibu kuhusiana na speed.Maana isijekuwa yale ya...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Wadau nakuja jamvini hapa hasa kwenye jukwaa ili la mateknolojia kuomba msaada wenu mmoja tu,nao ni kua naomba kujua je naweza kuinstall Viber kwenye simu yangu ambayo ni nokia 5130 express...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada wa haraka kwenye ufahamu juu ya tatizo hili simu ya iphone 4s,imezima tu,wakati natumia.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tukiwa tunahesabu masaa kabla ya uzinduzi wa Galaxy S4 kujikumbushe jinsi Garage Band ya iPad na Siri ya iPhone 'walivyoi-dis' Samsung Galaxy SIII kwenye WWDC mwaka jana...
0 Reactions
1 Replies
727 Views
Apple  ni kinara wa gajeti za mkononi, hayati Steve Jobs katika katika mkutano wa watengeza Apps na wanahabari WWDC aliweka wazi kuwa Apple ni kampuni ya kutengeza vifaa vya aina hiyo...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Kila nikfungua magame kwenye mypc inaniletea hyo sms je nifanyaje ili kusovu tatzo na hii nibaada yakuchange vga card nakuweka window mpya hata yupo jiran yangu mwenye tatzo kama hlo yeye...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Wadau ninaombeni msaada wenu namna ya ku upgrade window ya nokia lumia 610 kwenda 7.8 maana nimejaribu zune.come imekataa. Asanteni sana
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF nimeletewa simu kutoka ughaibuni Sharp sidekick (T MOBILE) sasa nikiweka sim card za hapa tz inaniandikia Enter code to enable SIM card, JE hizo code ni zipi na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kama heading ilivyojieleza,,,,,,,,,msaada katika hili jamani...................:yo:
0 Reactions
1 Replies
750 Views
Niko na Decoder/King'amuzi Dreambox DM500-S kuna uwezekano wa ku-load software ya MPEG4!?????? Tafadhali naomba kujuzwa kama kuna uwezekano huoooo. Na wapi/nani anaweza kunisaidia tafadhali. Sent...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom