Heshima mbele wakuu nisaidieni namna ya kurecover mail yangu ya Yahoo mwaka 2009 nili update details sasa kwa bahati mbaya nimesahau nilijaza nn!nisaidieni kama kuna helpdest ya yahoo mail kama...
Ninatumia Nokia x2-05 simu hii imeanza kunisumbua huwa inaji restore yenyewe na imefuta applacation zote ambazo ziko upande wa simu na zile ambazo ziko upande wa memory card zinakuwa na alama ya ...
Nina nokia N95 tatizo lake ikiishiwa chaji, na ukichomeka charger haiingizi moto. Nimetumia charger tofauti ila tatizo lipo kwenywe simu. Nimepeleka kwa mafundi simu wengi wao niwababaishaji. Kwa...
hellow wanajamvi,
Najua wengi wetu tumetumia aina nyingi za simu, ninachotaka kujua ni ipi kati ya hizo ulizowahi kutumia unadhani kwako ndo ilikuwa bora zaidi kuliko zingine hata kama ndo...
Wakuu tafadhalini kichwa kinajieleza.
Ninapoweka Alarm wakati simu imewashwa kunakuwa hakuna shida maana inalia.
Simu hii ninapoweka Alarm halafu nikaizima
muda unapofika hapigi Alarm...
Habari za Mchana,
Naomba msaada wa kuweza kutumia internet ya mtandao wa AIRTEL kwenye simu aina ya Nokia Lumia 510. Nimejaribu kuisomasoma ila sijafanikiwa jinsi ya kujiunga.
Nilikuwa natumia...
Wana Jf Mimi ni mtumiaji mzuri wa Airtel Tanzania, Internet na Simu vyote natumia Airtel,
Rejea tangazo lao la ukipiga dk 2 za mwanzo baada ya hapo wanakukata sent kumi, kwanza nimepiga simu...
Simu yangu katika siku za karibuni imekuwa na tatizo la betri kuisha haraka bila kuitumia nikaja kugundua kuna program (MUSIC) ina update playlist naombeni msaadajinsi ya ku close nitashukuru...
Habari zenu wana jamvi Naomba Msaada wenu Npo hapa Morogoro mjini laptop yangu inazingua Kiooo hakitoi mwanga na kinatoa Mistari Mistari mara tuu Ninapoiwasha japo inawaka fresh. JE wapi naweza...
Moja ya matatizo ya smartphones ni kutokukaa na charge. Ya kwangu nilikuwa na charge mara mbili kwa siku. Lkn sasa inaweza kukaa na charge kwa zaidi ya saa 24, na mara nyingine kwa saa 48...
wakuu nilinunua modern nikiwa DODOMA..inafanya kazi vizuri tu...nikienda dar pia mzigo uko sawa..mwanza pia naitumia vizuri..tatizo nikija kwetu KIJIJINI modern haioneshi zile bars za network...
Miezi miwili sasa napata error message kila niki-browse You Tube. Nimejaribu ku google kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili lakini wapi, nimebadirisha flash playera bila mafanikio, nimefuta cookie...
Baada ya Nokia 1100 huenda Nokia 105 ikaja kuwa simu maarufu zaidi hasa kwenye nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania. Hii ni baada ya kampuni hiyo ya simu kuzindua simu hiyo yenye uwezo wa kutunza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.