Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
naomba msaada wa ku install Ram ktk pc yangu...kuna slots 2 lakin nikiweka Ram pande zote pc haiwaki,ila nikitoa moja inafanya kaz!...tatizo ni nin hapo?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Monster Black Hole Burp Surprises ScientistsBy Tia Ghose, LiveScience Staff Writer | SPACE.com – Mon, Jan 7, 2013 Email Share Share4 Print Related Content View PhotoA massive outburst...
0 Reactions
0 Replies
725 Views
Jamani Mimi Ni Mgeni Kwenye Mtandao Kwahio Naombeni Mnifahamishe Mimi Nina account Ya Fb Lakini Tatizo Nilonalo Siwezi Ku Add My Profile Picture Naombeni Mnijuze Kwani Mkinijuza Mimi Mtakuwa...
0 Reactions
3 Replies
232 Views
(...) When you start your computer, does Windows 7 ask for a password? It should. If not, you need to create a password as soon as possible. Not having a Windows 7 password is a big security...
0 Reactions
0 Replies
873 Views
Nimepata taarifa toka baadhi ya watu tofauti kwamba kuna hiyo ofa,lakini kwangu inagoma,mwenye ujuzi atoe msaada.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, nahitaji ssaada wa Security Codes za Nokia C2-03 na 7210. Nafahamu kuwa Security Code ya Nokia N1280 ni 12345 nikadhani kuwa hii ndio kwa simu za Nokia zote kumbe sivyo.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wapendwa kwenye kurasa zangu za JF nilikuna nasoma habari ghafla maandishi yakawa madogo yaani font imekuwa ni ndogo sasa sijui kuyafanya yarudi katika hali ya kawaida,hapo nyuma kuna jamaa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Web Development Training in Joomla @ COSTECH Kijitonyama Event in Dar Es Salaam, Tanzania Come and learn about latest Web Technologies and Web Content Management System (CMS) with Joomla...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu, natumia window 7 ila tatizo inagoma ku konect wireless nimejaribu ku trouble shoot problem inanijibu wireless capability is turned off. naomba msaada plz..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ninauliza tu kwa nini hii mamlaka ya mawasiliano isiweke shinikizo kwa TV stations za nchini zirushe mtangazo yao kwenye mfumo wa SATELITE mbali ya huo wa ving'amuzi?Hii itasaidia kwa sisi ambao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada jinsi ya kuroot motorola xt 550
0 Reactions
0 Replies
1K Views
simu nyingi za juu ambazo zina specification za ukweli zinauzwa bei kubwa approximation ni millioni moja kwenda juu. mfano wa simu hizo ni kama nokia lumia 920, samsung galaxy s3, htc droid dna na...
5 Reactions
25 Replies
9K Views
HOW TO PERFORM AN 'IN PLACE UPGRADE' / SYSTEM REPAIR Is your system unable to boot into Windows XP/2000 or even Safe Mode? Whether you get a blue screen or XP/2000 just hangs, then this...
0 Reactions
1 Replies
911 Views
Ni dekoda ambayo unaweza ukatumia sim card na ukawa unaangalia dstv bila kulipia,wewe ni kujiunga kifurushi tu cha mwezi...anaejua vinapopatikana atujuze...kinaitwa hawk ni producct ya china.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
http://www.out.ac.tz/ Hackeado por HighTech Brazil HackTeam No\One - CrazyDuck - Otrasher
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wanabodi najua humu kuna wataalamu wa kila aina. Kuna jamaa yangu anatumia simu ya NOKIA X2-1. Ina uwezo wa kudownload mp3 na video kwenye waptric lkn kama mnavyojua vitu vingi havik kule tu...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wadau ofisin kwang wireless network ina speed ndogo sana,nmeongea na IT technician mmoja ananiambia kuwa inawezekana compyuta ni nyng kuliko uwezo wa router!....ningependa kujua kama kuna software...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau nackia kuna utundu wa kiteknolojia(hacking) ukifanya atm mashina inafoka pesa like crazy je hii ki2 ipo au ni story, how?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
jaman Mm hapa Home nnapata Chanels 9 tuu za home + Mozambique Tvs naombeni tushee frequency za C Banb Nyngnee Kwa Ambao mNazpata.. Pia Ku Haifany kaz Kuna Mda chanels Zlikata waka Mleta fundi...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Back
Top Bottom