Leo nimetumiwa document ya muhimu sana toka benki fulani. Ajabu document ile kwa chini ina watermark ya CamScanner. Nikashangaa sana mtu hata document za muhimu bado anatumia CamScanner tena...
picha hii ni halisi imepigwa ndani ya lisaa limoja lililopita na chombo cha Orion spacecraft kilicho ruka na rocket ya mwezini kwenye mission ya Artemis I 🛰
Pichani hapo ni muonekano wa dunia...
Nashangaa sana kuona watu wanayopotoshana kwamba ujio wa starlink Internet hapa Tanzania ndio utakuwa suluhisho la unlimited internet ghali kama supakasi ya voda.
Kama hauwezi kumudu internet...
Unaweza kuhamisha fedha kutoka mtu hadi mtu. Tunaomba option ya kumhamishia mtu dakika za maongezi! Mfano, nina dakika 100, nataka kumpunguzia John dakika 50
Habari za wakati huu wana JF, wakubwa zangu shikamoni,
Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja iliyonileta hapa, wiki moja imeisha nmenunua hii simu SAMSUNG GALAX NOTE 10+ lakini imekuwa na...
Wasaalam,
Naomba kupewa ufafanuzi (wakitaalamu) kidogo.
Nimepatwa na Changamoto kwenye matumizi yangu ya Simu hasa upande wa internet.
Siku zote huwa nikitumia internet, huwa napata kwa 4G...
Watu wengi wamekua wakiuliza swali hili, hasa wale wanaofanya kazi kama waalimu, ambao wanatakiwa kuwa-grade wanafunzi kulingana na matokeo ya mitihani kwa kutumia Microsoft excel.
Nimeona watu...
Habari wakuu,
Natafuta kifaa tajwa hapo juu, nimejaribu kuulizia baadhi ya maduka wanyouza vifaa vya kielektroniki hapa posta sijafanikiwa. je kuna mtu anaweza nielekeza mahali ninapoweza kupata?
Habari. Hawa mabwana wanajiita Samsung discount wapo china plaza bei zao ziko chini sana ukilinganisha na maduka mengi yanayo uza simu za kufanana na hizo mpaka nimeshawishi nataka nikachukue Note...
Katika ulimwengu wetu wa leo matumizi ya Intanet yamekuwa ni miongoni mwa hitaji la msingi kwa kila mtu.
Katika mazingira mbalimbali tumejikuta tukiwa katika maeneo ya umma ambapo kuna wifi za...
Habari ,nimeshawishika kutaka kununua simu used from abroad ambazo zinauzwa na kunadiwa mitandaoni, hii ni kutokana na kigezo kimoja tu cha bei, kwani nyingi ni za viwango na ni za matoleo ya hivi...
Kampuni mama ya Facebook imetangaza uamuzi huo leo kwa maelezo kuwa inalazimika kuondoa 13% ya wafanyakazi wake ili kubana matumizi.
Mkurugenzi Mtendaji Mark Zuckerberg amesema katika robo ya 3...
Wakuu, msaada kwenye tuta. Hapo mwanzo hii game Euro truck simulator 2 nilikuwa naicheza vizuri kabisa kwenye hii laptop yangu ya Lenovo T420 Core i5. Nimeicheza kwa miezi kadhaa hadi now.
Sasa...
Habarini.
Ha tunnel plus imekua ikinisumbua muda mwingi inahitaji nitazame matangazo yao ndio niweze kutumia.
Je kuna njia nyingine ya kuondoa kua add time kila Mara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.