Habari zenu wakuu,
Natumai mko poa nyote.
Poleni sana na majukumu ya kila siku.
Simu yangu Samsung S8 Plus.
Iko locked na Au ya Japanese.
Kila laini nayoweka inaniambia Invalid sim card Locked...
Sometimes Bhana naona watu wengi aki code style website yake kidogo tu anaanza ku inspect elements aangalie jinsi gani iyo style inaonekana kwenye mobile.
Hii trick pia inakupa access ya kutumia...
Habari wana jamvi la JF Tech, kama title inavoeleza. Simu angu kuna baadhi ya Apps hazifunguki inanipa maelezo kama yalivyo kwa TITTLE hapo juu. Naombeni msaada shida ni nini hapa!
Chombo cha kupeleka mizigo katika anga za juu cha China cha Tianzhou - 4 kimerejea angani. Vipande vingi vya chombo hicho viliteketea wakati wa mchakato huo, huku vipande vichache vikianguka...
Habari Wakuu!
Ndugu yangu kanunua hii simu ila ukiweka simcard inasoma jina la mtandao ila bars za network zipo empty. Nimejaribu katika Network options kushusha kutoka 5G to 4G to 3G to 2G ila...
Amani na iwe kwetu wote. Nashukuru jukwaa la tech ndo huwa hawana bla bla nimesaidika sana.
Sasa nina samsung s10 ina android 12. AT &T
Tatizo lake sasa linaloninyima raha ni kutokuwepo button...
Wakubwa mnajisikiaje na hali🤚🤚, ni hivi ulishawahi kufanya kazi sehemu kama programmer halafu ukakuta wasimamizi wako au pengine wadau wakawa hawajui vizuri kuhusu programming? mimi hiyo...
Za asubuhi wakuu
Naulizia kwa hapa bongo wapi nitapata battery ya simu tajwa
Naipenda huwa kanatunza chaji Sana toka 2019 mwanzoni Hadi Sasa . Week ya pili Sasa nasikia harufu Kama ya lithium...
Habari za weekend wataalamu
Nimenunua TV aina ya star X naomba kujua namna ya kuunganisha na simu yangu kwa wireless ili niweze kushare music na video. Kabla ya hii nilikuwa na TCL ilikuwa rahisi tu
STARTUP COMPANY,
Kuna mkanganyiko mkubwa Sana wa maana ya Startup ni nini unakuta hata baadhi ya Founder wa STARTUP kibongobongo hawana uwelewa wa kitosha kwamba STARTUP ni nini na inasifa gani...
Habari zenu wakuu...! Niende kwenye mada moja kwa moja
Sehemu nayoishi kuna tatizo la umeme kuwa hauna nguvu/umeme mdogo kiasi kwamba kuna baadhi ya vifaa vya umeme ukiwasha haviwaki au vinawaka...
FAHAMU KUHUSU ARTIFICIAL INTELLIGENCE ?
Neno artificial intelligence tunaweza sema ni "Akili bandia" ule uwezo wa teknolojia kufanya mambo mbalimbali ambayo kwa kawaida uhitaji kutumia uwezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.