Nimejaribu kuunlock kwa kutumia codes za tools baadhi ikiwemo Universal Master Tool zimegoma. Unlock Attempts zimebaki saba. ama kuna mdau amewahi kufanikisha kuunlock hii route tushirikishane...
Kampuni ya Apple inc kupitia devices zake za iphone leo zimeweka rekodi duniani ambayo haijawahi kutokea. Zaidi ya devices 10 ml zimeuzwa leo huku ikiwa ni rekodi duniani.
Iphone wanasema hiyo...
Nimevutiwa sana na ujio wa NOKIA hasa specification zake pamoja na bei yake ambapo ina range 250k-270k!
Betri 4100 mAh
Kwa kua sijatumia ya Nokia smartphone naomba wenye uzoefu nazo...
Members Nina sm yangu ya Infinix nimeshindwa kutoa sauti wakati ninapo screenshot. Hio souti inayotoka ninapo screenshot inakera sana maana ni ya juu sana. Je inawezekana nikawa nachukuwa...
Wakuu nisaidie jinsi ya kupata projector yenye ubora wa hali ya Juu,
Kusema ukweli sijui chochote kuhusu hizi projector.
Itapendeza zaidi nkipewa na bei zake.
Asante
Hanari wakuu, mimi si mtaalam sana wa computer ndo najifunza baazi ya mambo. Natumia dell optiplex 5040 yenye RAM 4gb ddr3 hivyo nikaamua kuongeza RAM 8gb ila ni campuni tofauti na RAM iliyo...
Habari, kwa wale ambao wana interest na mambo ya udukuzi, hizi ni baadhi ya basics unazopaswa kufahamu;
[emoji626]Adware − Ni software iliyoundwa ili kulazimisha matangazo ya aina fulani...
nilienda ttcl kuwaomba wanifungie internet ya kwenye zile nyaya za simu ili nipunguze gharama za hivi vifurushi ghali, kuna dogo namjua tangu 2020 yeye anatumia hii huduma hajawahi kuwa na habari...
Xender , shareit , Airdrop ni app hatari sana kwenye simu ?
Nazani kichwa Cha habari kinajieleza au bado [emoji3] ujanielewa kama unatumia app ya Xender ifute sasa hivi maana ni app hatarishi...
Unaijua phishing link kwenye simu zetu
Je una hamu ya Kujua Nini kitatokea ikiwa umegusa link ambayo ni phishing attack kwenye simu yako ? Unajua kwa kugusa tu link unaweza kuingiza kirusi...
"Chief Twit" mpya wa Twitter Elon Musk anaripotiwa kufikiria kufanya blue tick kuwa kuwa kipengele cha Twitter Blue, wakati huo huo akiongeza mara nne gharama ya huduma ya usajili. Hii inamaanisha...
Habari wataalamu, Naomba kuuliza nawezaje kuongeza Redio kwenye Kingamuzi changu cha star times. Kwa ambazo ni Tbc Fm na Tbc taifa, nataka niongeze Clouds Fm, wasafi fm, n.k
Inawezekana?
Hero wakuu, poleni na mihangaiko ya kila siku.
Mimi ni mdau na schoral wa field ya IT na lengo langu kubwa ni kuja kufanya kitu ambacho ni remarkable na nipo chimbo kwa sasa, back to topic nakua...
Habari wadau wa jukwaa. Mimi ni mpenzi wa muziki wenye mchujo wa hali ya juu (hi fi). Nahitaji kununua system ya nguvu ya stereo (hi fi). Naulizia duka ambalo ni wataalamu wa hifi inayoweza...
Rejea kichwa Cha habari hapo juu.
Msaada wa jinsi ya kulipia (payment methods) ambayo nitamtumia Mpesa au mobile money YouTube ili nipromote contents zangu Kwa eneo ninalolilenga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.