Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hi there I was in the middle of developing Drupal site and just ended up with following issues 1. I managed to upload .swf file and put it where it should, but it doesn't shown up on the page...
0 Reactions
4 Replies
917 Views
naomba watalamu mnipige msaada wa ku unlock huaawei e173 imei;no.352097047224639 nisaidieni wakuu
0 Reactions
3 Replies
977 Views
kuna simu yangu aina ya nokia x6,nashangaa siku hizi imekuwa na tatizo la kila unapotoa betri ukiirudishia tena,inakuwa imepoteza tarehe na muda,inabidi ufanye setting tena!naomba msaada please.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
msaada : nikitaka kuzima computer STAND BY na HIBERNATE zipo faint huku RESTARTna TURN OFF zikionyesha zaweza fanya kazi lakini niki-click RESTART haikubali na niki-click TURN OFF mara nyingine...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
msaada jamani, nimesearch manually kwenye king'amuzi changu nimepata channel kama atn, ila hazionyeshi, nifanye nini hivi hamna njia ya kutumia king'amuzi bure kwa maana gharama zishaanza kunitoa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wana jf heshima zenu,ningeomba kuuliza hapa tz ni wapi zinauzwa used computers za apple aina ya imac na kama zipo mnijuze ni kama bei gani!!! Natanguliza shukrani zangu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada wa kutaka kujua kwa nini computer yang inapenda kustaki stak nimkwa ajiri gani jamani?
0 Reactions
0 Replies
660 Views
wadau wa JF plz naomba mnisaidie katika hlo suala
0 Reactions
2 Replies
1K Views
google wanaelekeza jinsi ya kutumia google search kuna vitu vingi wanavifundisha ambavyo vinarahisisha jinsi ya kutumia google kwa urahisi darasa jipya linaanza tarehe 24 septemba the gud thing...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa, najitokeza kwenye jukwaa hili kuomba mwenye ujuzi wa jinsi ya kuchaji battery za Camera. Nina Camera ambayo inatumia rechargeable battery, ila nimeshindwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
iPhone 5 vs. Samsung Galaxy S III vs. Droid RAZR HD vs. Nokia Lumia 920 Apple iPhone 5 Samsung Galaxy S III Droid RAZR HD Nokia Lumia 920 Screen Size 4 inches 4.8 inches 4.7 inches...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hello anybody with VGA drivers for a GATEWAY LT2802u
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau kama mnavyoona hapo juu napata shida ya kuunganisha net simu zangu N95 na IDEOS naombeni msaada wenu ndugu zangu.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wanajanvi kilichonitokea leo sijaamini macho yangu nimeona simu yangu ya kichina ya nokia itoa moshi mfukoni jamaa yangu kaniambia, mwanangu uweweka fegi mfukoni hujanyunda vizuri nikawa nashangaa...
0 Reactions
47 Replies
8K Views
WATU WA IT !!! nisaidieni activation KEY za WINDOW SERVER 2008
0 Reactions
1 Replies
801 Views
kila nikikopi kitu upande wa internet nikirudi kwenye write massage na nikapaste kile nlichokikopi kinakuwa multmedia massage wakati mimi nataka text massage nahitaji msaada wenu.
0 Reactions
0 Replies
761 Views
kama ujui kuwa online unaweza lipwa basi ona hapaReferralTask.com Earn Money by inviting - 1$ per referral link visit
0 Reactions
1 Replies
830 Views
Msaada katika hili napodownload applications tofauti kutoka play store zinakubali vizuri tu lakini baada ya muda tu zinagoma kufunguka nn tatizo na ninapo douwnload nyimbo pia zinaplay vizuri tu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hiyo namba ilinibeep kwa mara ya kwanza tar 8/08/2012, usiku nikahis ni namba ya nje. Kesho yake nikaweka vocha, kupiga nikasikia maelekezo ya kiswahili nkakata hapo sababu muda huo huo sim...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
natanguliza shukran zangu,lyn yangu ya tgo ime brock sa puk nilipoteza, je kuna njia nyngne kuzpata zaidi ya kuwapigia coz cna lyn ya tigo nyngne,plz help me
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Back
Top Bottom