Google Storage Wametoa Offer ya bure kwa watumiaji wake someni hapo chini.
For those of you who have been waiting to use Google Storage, were happy to announce that effective immediately, you...
Hi!
The TCRA are winding up the analog communication and opening the gateway to Digital.. Am afraid of their readiness since only the TBC's, Chanel Ten and the CLOUDS are the only available...
wana jf heshima zenu, kwa kama siku tatu hivi nimeshidwa kununua bundles za voda hasa ile ya day100mb,kila nikiomba kwa kupitia *149*01# au sms kwenda 15300 jibu ninalopata ni service is not...
Wadau mimi natumia gmail(window 7 pro), nimesikia kuna watu wakipata email wanapata notification ya kuwa
wame receive new email kama sms kwenye simu......hivi inakuwaje?? vipi nitaweza kupata...
...katika pita pita zangu mtandaoni nilikikutana na post flani inaelezea jinc ya ku unlock hizi moderm za airtel..ZTE MF190
kwa ku upgrade fimware yake,lakini baada ya ku upgrade fimware sasa...
Bwana Jacob Noel Urasa Mbunifu wa mfumo mpya wa mawasiliano ya computa ndani ya makampuni UJULIKANAO KAMA wfrobot erp AMESEMA mfumo huu mpya ni mfumo ambao una manufaa makubwa kwa makampuni na...
Bandugu iphone yangu niliiangusha sasa touch screen haifanyi kazi ila inawaka vizuri na cm ilipigwa inaingia ila tatizo ndo hili cwezi hata kupokea cm msaada plz.
Habari za kwenu wanaJF,
Miaka kama minne iliyopita nilikutana na mtu ambaye laptop yake alikuwa amelock USB port. Yani niliingiza flash disk yangu ikasoma lakini nikaona nauliziwa password ili...
great thinkers laptop yangu,dell inspiron,window 7,ina shida,hapo mwanzo nilikuwa na play dvd na cd,lakini sasa ukiweka dvd haiitambui(mlango wa cd unafunguka dvd inatoka) ila vcd,cd inaplay kama...
Nimedownload program moja ya kulock folder inaitwa FOLDER SECURITY PERSONAL 4.2,baada ya kuinstall ndo mambo yakawa mambo.kila program ninayotaka kufungua napata hii message.''These files can't be...
Naombeni msaada jamani, kila napotaka kudownload kitu chochote kwenye simu yangu naambiwa invalid web setting. Hiz setting zko wap na ntafanya nin ili niweze kudownload? Thnx...(nokia 2730 classic)
Wakuu natanguliza salaam.Wapi naweza pata kwa bei nzuri Battery hiyo hapa Tanzania au kununua nje wanaoweza kunitumia,natanguliza shukurani.Naomba mni PM au rakeyescarl@yahoo.ie(sio yahoo.com)...
Most people don't realize that Facebook (FB) can continue to monitor their internet activity, even if they are no longer logged into the site.
Using "Facebook Connect," and other social plug-ins...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.