Habari zenu wakuu, nakuja humu JF kwa imani nitapata ninachokihitaji.
Natafuta computer (latest) kwa matumizi yangu ya kawaida. Pesa is not a problem. Mimi ni lecturer wa chuo kikuu
NINAPO SEARCH NETWORKS KATIKA KA SIMU CHANGU KUNA NETWORK INAKUJA IMEANDIKWA 64001 3G NDO NETWORK PEKEE YENYE 3G ENEO HILI, NAOMBA KUJUZWA KUA NI NETWORK YA KAMPUNI GANI SABABU HIVI VI 2G VINALETA...
Mtu yeyote mwenye shida na Bios password ktk Dell aina zote na Hp Compaq aina zote awasiliane na mimi kama yupo nitampa mawsiliano nitahitaji kwanza vithibitisho kama laptop ni ya kwako,badae...
Wakuu,salama
Nilitumiwa Blackberry na rafiki yangu yuko USA,nimejaribu kuweka line za hapa bongo bdo inaniambia ni insert Sim Card
Nifanyeje niweze kuitumia
watalam wa mobile Phone naomba msada wenu.
Ndugu waislamu here is a wonderful Adhan application kukujulisha muda wa sala na muito wa Adhana(works on window mobile, symbian, blackberry and indeed most phones)
seti tu mji ulipo baada ya...
Wakuu naombeni mnielekeze ni wapi hapa dar nitapata used LaserJet Printer hasahasa ya HP na Photosmart ya HP nipo katika hitaji la haraka naombeni mnielekeze wapi pa kupata vitu hivi. Asanteni
Jamani kila nikifanya installation ya Microsoft Office 2007 ent napata error 2203 halafu inaacha kuendelea tatizo ni nini nimeformat computer lakini wapi ila office 2003 inakubali, msaada nimezoea...
Mkolon and tcoal9
Salaam wakuu na wengineo ambao watakua na utaalam wa tatizo langu.
Nina externa Hard disk, kila ninapoiweka kwa laptop inadai BitLocker password.
Nimehangaika sana katika net...
The computer virus, known as Flame, was discovered by Kaspersky Lab, a Russian cyber security software maker that took credit for detecting the malicious computer code, Reuters reported...
wadau naomba msaada,deki yangu ya DVD imegoma kuwaka ile sehemu inayoandika NO DISC AU DAKIKA wakati cd inatembea.Ukiwasha moto unaingia lakini hiyo sehemu imegoma kuwaka na hivyo deki haifanyi kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.