nina simu yangu ya nokia si mchina nikiweka kwenye chaji inafanya kazi vizuri nikiitoa inawaka muda mfupi then inazima ivi hapo kuna nini wakubwa yaani inaniboa sana asee
Nimetumiwa hii msg kwenye mail box yangu, mi sio mtaalam wa ma-IT, hivi ni kweli mtu anaweza kupata information zangu zote kutoka kwenye PC yangu kwa kufungua tu hilo faili?
Please Be Extremely...
Habari wanajamii!
Nawatafuta watu wenye mitaji ya kuanzia kama milioni 3 hivi tufanye nao biashara.
Biashara yenyewe iko namna hii ni kuzalisha umeme kwa kutumia machine ya kusaga...
Naombeni msaada kuhusu display ya simu yangu kujaa rangi na kutoonyesha kitu chochote kila ikiingia kwenye standby mode au nikiizima na kuiwasha mara nyingine inajaa rangi na kutoonyesha chochote...
Nimeckia kuwa kuna settings za network ukiweka kwenye handler application kama opera mini 4.2 labs unaweza kutumia internet bure, je ni kweli? Na kama ni kweli naombeni msaada wenu.
nina simu yangu ina matatizo sana sijajua suluhisho lake kwanza ukiiwasha inawaka baada ya muda inazima,nilipeleka ikaflashiwa lakini bado inawaka na kuzima nikabadilisha betri bado tatizo ni lile...
habarini wakuu wa jamvi,me ni kijana mwangaikaji sana juu ya technology lakini sasa technology imeamua kunihangaisha kimawazo na kifikra!
Mimi nina memory card yangu niliweka kwenye pc yangu...
Habari wanajf,
naombeni mnielimishe jinsi ya kuweka password kwenye simu ili mtu akitaka kucheki salio ashindwe kuona mpaka aingize hiyo password. hii kitu nilionaga kwenye simu(nokia) ya jamaa...
Wadau tangu juzi Zantel wameongeza vifurushi vyao vya intanet as follows 2 GB sasa ni sh 15,000 kwa mwezi, 3 days UNLIMITED kwa SIKU 3 ni Tsh 5000, NA ile bundle ya Highlife imekuwa ni 5GB kwa...
Please view this vid and realise that when you get hacked (pc/password (admin), email/password, site/password) this is how simply it get's done.
SCARED? I AM!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.