Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
WanaJF, nimenunua leo simu hii kwa machinga, brand new. Tatizo hakuwa na Manual. Alikuwa na charger na earphones tu. Sijawahi kutumia smartphones before. Nimeshindwa kupata Manual yake kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
adau nime format computer moja kati ya kadhaa zilizo kwenye network, cha ajabu baada ya hapo naweza kuingia web ya gmail na google tu mnaweza saidia hapa???
0 Reactions
2 Replies
915 Views
msaada wakuu jinsi ya kufungua file za zip.kwenye simu yangu nokia n70 zinagoma kabisa kufunguka
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada , PSP angu ilikwisha chaj na nilipoiweka kwenye chaji hakuna mabadiliko yoyote !! Na asbuh ake majuz nliichaji na ikakubal ila jion ilgoma
0 Reactions
4 Replies
898 Views
Wakuu nadahni Tittle imejitosheleza .Nimjadala.Kipi kigumu au kipi ni rahisi. Nakaribisha mawazo , maoni yenu huku tukielezananakutoa sababu za hoja zetu Karibuni
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi inawezekana ku configure IDU ya Vsat kupata free internet sevice?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kuelekezwa jinsi ya kupata internet kwenye simu aina ya TECNO T8.<BR><BR>Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, poleni na majukumu ya kujenga taifa. simu yangu nokia n8 orijino imezima ghafla na haitaki kuwaka wala haingizi tena chaji! naombeni msaada wenu namna kuiwasha.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu nimetengeneza cv ambayo nimeunganisha na vyeti na imenipa 17mb, hii inanipa shida kuapply kwani sehemu nyingi wanataka document ambazo hazijazidi 2mb....naomba msaada kama kuna software ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kati ya hizi Symbian OS, Android OS, BlackBerry OS na Window mobile wadau naomba mwenye ujuzi na hili naomba anielimishe ikizingatiwa kuwa hapa ni HOME OF THE GREAT THINKER natanguliza shukurani.
0 Reactions
23 Replies
2K Views
wakuu, hii player ni nzuri sana ina rich features nyingi ni kikubwa ni kwamba unaweza kupata subtitle ya muvi yeyote unayoichek hata kama sio ya kingereza. hapa naangalia muvi a kijapan inaitwa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kufuatia lile tangazo lao la Banjuka na TTCL nime nunua Modem pamoja na kununua vocha ya sh 50.000 , sikwenda na laptop yangu, walicho kifanya ni kuni ingizia vocha , na kujaribu kuhakikisha...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Ni kwamba wamepandisha gharama za Internet au vipi, mbona inaisha haraka hivi. Sisi tuliokuwa tunajikamua na 2500 kwa 400mb si ndio basi tena!!.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani eti kwanini SAMSUNG inakataa kwenye whatsapp
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu naomba tupeane taarifa ni CMS (Content management System) kwa mazingira , taaisis au tovuti fulani fulani. Mfano naanza Wordpress- WordPress &#8250; Free WordPress Themes Inafaa kwa...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Nina Daewoo International DHT-002 DVD HOME THEATER SYSTEM, hivi karibuni imeungua kwa sababu ya mvua iliyoambatana na radi. Japokuwa ilikuwa off lakin ilikuwa connected kwenye main na huenda ndio...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wataalamu wa website design naomba constructive ideas about my site home page,
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nisaidieni natumia moderm ya VODACOM zile za toleo la kwanza, na computer yangu ni Dell na window 7, nataka nitumie pia kwa airtel na tigo, nilikuwa naweza kutumia nilipokuwa natumia window XP...
0 Reactions
2 Replies
739 Views
Time Zone Converter From the website above you can easily do time conversion. This reminds me of my form 2 or form 3 if I am not mistaken on geography when such questions were being raised.
1 Reactions
0 Replies
555 Views
Guy's I have been having trouble on how to link a website with a database.I hope I came to right channel. I have been trying for a couple of days without success,I do hope for best from you guys.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom