Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hi you all!!! Ninaombeni msaada wenu kwa uzoefu wenu ni ipi software nzuri ya kutengenezea flash slide show galleries ambayo mwishowe inaweza kutengeneza html za hiyo gallery au namna nyingine...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Nimenunua router ya wireless zantel lakini ipad 2 ya haiisomi. Laptop inaisoma. Naomba msaada.
0 Reactions
1 Replies
922 Views
Wakuu naomba mnisaidie nini cha kufanya baadhi ya key kwenye laptop yangu HP PAVILLION DV 6000 zinasumbua sana, zinaweza fanya kaz lakin kuna saa nikiizima nikiwasha hazifanyi kazi
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna software nimedownload kwa mtindo wa image.(Iso) so nahitaji kuburn lakini kwenye dvd hz za 4.7gb haikai. Naombeni mawazo yenu na msaada wenu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwanza naombeni samahani kwa kuchanganya lugha mbili. Nafikiria kuanzisha biashara ya ISP(Internet Service Provider), Tanzania, ninajua kuna mahitaji kama kuwa na business plan, kuwa na corporate...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hallo wataalam wangu wa kompyuta na mambo ya IT. Nina modem ya Vodacom ninayoitumia kubarizi internet.Ni hii modem ndogondogo size ya flash disk.Nikishafanya connection inafanya kazi kama nusu saa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inawezekana ku unlock new tigo modem completelly?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jama sh ngap zinaenda kwa bundle ipi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nisaidieni kunipa maarifa/elimu ya jinsi ya kutumia keygen, crack kufungua au kuzibua software kwenye pc. Nimedownload keygen, ikaja katika winrar. nimei unzip imenipa mafaili matatu. hapo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
hey wana jf Najua kuna watu wanapata shida hasa wanaotumia internet kwa proxy maana hawawezi kudownload torrent. So leo nitawapa njia ya kudownload torrent directly bila kutumia client yoyote...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kuichakachua moderm ya Airtel ili iingie laini zote basi anisaidie tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
590 Views
JAMANI WADAU ME NINA IPOD YANGU KILA NIKIJARIBU KUICHARGE HAIINGIZI CHARGE THEN KUNA UJUMBE UNAKUJA UNAOSEMA "one of the USB devices attached to this computer has malfunctioned, and window does...
0 Reactions
2 Replies
599 Views
Ndugu zangu kwa muda hivi nimekuwa nikifungua ukurasa wangu wa facebook unafunguka lakini wakati huohuo unafunikwa na picha za ngono. leo nimefungua ukurasa wangu, ulipofunguka nikwa redirected...
0 Reactions
8 Replies
15K Views
Waungwana kuna jamaa nilipokea email yake kajitambulisha kama frenk adam kutoka burkinafaso anadai yy ni bank meneger na shida yake ilikuwa kutrassfer pesa kwenda kwenye account za nje,nilichat...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
salam wakuu, mimi ni mtumiaji mzuri tu wa vifurushi vya lightday kwenye simu yangu ambapo unapewa like 2days accessing. sasa wiki mbili zilizopita niliacha kununua iyo bundle lakini nashangaa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natumia simu ya NOKIA C1. Napotafuta jina kwenye contacts list, napata message "Operation failed". Hivyo hakuna namba ninayowezapiga toka kwenye contacts. Mtu akinipigia inatokeza namba tu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WanaJF kuna hivi vitu vinanchanganya mimi nnapenda Computer engineering, ila kuna hii wanaita Computer science je ni nini tofauti zake? Na pia kuna kitu wanakiita Electrical and computer system...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
tangu jana sipati huduma y ainternet........nimejaribu kuwatafuta tigo sijapata access na CC yao napata message insufficient network coverage to process your request please try again...
0 Reactions
0 Replies
587 Views
Nisaidieni ili niweze kutumia laini zingine nimechoka na internet ya voda ni wezi watupu natanguliza shukurani za dhati.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau tangu jana kila nikifanya double click katika audio song hamna action yoyote lkn kwa video inakubali kwa hiz nyimbo za audio zinataka had niright click nakuopen with a certain...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Back
Top Bottom