kwa yeyote mwenye ufahamu jinsi ya ku-install file za richard burns rally 2011 naomba anihabarishe,niliagiziwa kwamba una install file zote 6 in ascending order lakini bado inagoma,naomba msaada...
Wakuu kuna fundi nimempelekea laptop yangu window ilikuwa inataka niuptudate nikachelewa ikawa black kwahyo alikuwa anaweka window nyingine amefanya kazi hyo kwa kama siku mbili japokuwa iko chini...
wana jf nina laptop aina ya dell latitude 620 nikiangalia naona kitu kama web nimejaribu ku - connect haijafanya kazi .nimenunua external webcam lkn inaonyesha picha giza na ninatumia win 7 naomba...
nakumbuka zamani ulikuwa unaandika aina ya simu na model number kwenda number 500 but nimejaribu hiyo ila inakataa...simu yangu ni original sio mchina...
wanajamii wenzangu naombeni msaada wa jinsi ya kukonect hp printer deskjet D4363 kwenye window xp kila nikiconect through usb port inasema device not recognised.kama kuna mtu anayejua naomba...
Siku nzima ya leonimeshindwakusign in kwenye yahoo kwani mara zote nilizojaribu inagoma na kusema eti nimekosea ama ID yangu au passowrdwakati jana usiku tu nilikuwa nasign in kama kawaida na...
Wakuu nilishawahi ona thread yenye software na keys zake. Kama kuna mtu anaikumbuka naomba anipe link yake ...nilikuwa natafuta antivirus software haraka iwezekanavyo!
wale wadau wa mambo yetu ya kukodolea macho monitor za computer(graphic designers,videographers,animators etc)nina adobe cs5 master collection
kwa anaehitaji anicheki hapahapa jamvini.hakikisaha...
wana jf nina computer yangu aina ya dell latitude d620, je aina hii ya computer ina webcam kama inayo naomba msaada wa drivers zake maana haifanyi kazi .nimejaribu external webcam bila mafankio...
With the development of smartphones, the devices began to incorporate more and more functions. The big problem is that more features mean more chips and more processing cycles, which means...
Hey wakuu habari za asubuhi, kama kuna mtu yoyote anaweza kunijuza namna ya kufuta history ambazo ulikuwa unabrowise kwenye computer. coz kuna tendesi hapa ya kuchunguliana hapa kazinin so nlitaka...
Nataka kuinstall hii printer (EPSON LQ-300+) kwenye computer yangu lakini bahati mbaya mtu niliyemuagiza amesahau CD zake na kila nikitaka kuistall inaniambia niweke hizo CD, kwa anayejua jinsi ya...
Close encounter of an asteroid kind
Asteroid 2005 YU55. (AP/NASA/Cornell/Arecibo)
The bad news first: An asteroid the size of an aircraft carrier will be hurtling toward Earth and is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.