wakuu habari zenu, nina shida na original CD ya Windows 7 Ultimate 64Bit nataka nibadilishe windows katika laptop yangu, ninayo pirated windows 7 lakini nataka iliyo from an original windows cd...
Wadau, nimekuwa nikitumia Yahoo Mail kwa muda lakini hapa karibuni walilazimisha ku-up date e-mail yangu na tangu hapo ziwezi tena ku-attach files kwenye e-mail.
Kama kuna jinsi naweza fanya...
Wakubwa kwa mwenye kujua hii error tunaondoaje naomba anisaidie!ni hivi:
Nimejaribu kuestablish categories pamoja na Articles zake kisha nikacreate link katika main menu hizi article.Baada ya...
Habari zenu wana jamii, nitafurahi sana iwapo nitapata msaada toka kwenu maana nimekuwa nikifuatilia sana mambo yanavyoendelea humu ndani ya nyumba hii na nimegundua kwamba watu wengi huwa...
kwa wataalamu wa computer nisaidieni. Yani nikiwasha laptop na kuweka paswad inawaka kama kawaida then inaandika log off nakurudi mwanzo au inabaki ikionyesha uso wa kioo(scrensev)
Nikiwa kama mdau mkubwa wa JF Tech, Gadgets & Science Forum naomba kutoa pole nyingi kwa ndugu na jamaa wa waliopoteza maisha katika ajali ya meli huko Zanzibar. Najua hapa si mahali sahii saaaana...
Ndg zangu salaam,
nimekuwa nikihangaika kwa muda jinsi ya kuihost au kuitupa database kny mtandao maana html pages nishazitupa imebaki website tu nisaidieni wanajf hayo maujanja
Salam Wadau!
Naomba msaada jinsi ya ku-unlock password kwenye Memory Card ya simu. Niliipoteza ikiwa na password na sasa nimefanikiwa kuipata tena ila nimeshindwa kukumbuka password yake...
Hii ndiyo simu ambayo imeuza kupita aina nyingine za simu duniani. Au uamini soma hapo chini:
POPOTE TZ: NOKIA 1100 a.k.a NOKIA YA TOCHI; ''UNAIKUMBUKA??''
Wadau laptop yangu yenye windows xp imeshambuliwa kila nikijaribu fanya chochote hata kwny control pannel sms hii inajitokeza mbali na kufanya jitihada mbalimbali but nmekwama, 'Windows cannot...
plz wadau, nikitaka kufungua applications kwenye cm yangu ya nokia 6500 slide up inakataa inanmbia suportive file , nothing to display, naomba mnisaidie kusolve hii kitu
Wadau.
Naombeni msaada wa antivirus ambayo naweza kuitumia kwenye kimeo changu Nokia XpressMusic. Nimekumbana na virus anafuta file moja baada ya jingine na kibaya zaidi hata pale kwenye option...
wakuu habari zenu......kwa bahati mbaya nipo sehemu ambayo hakuna 3g internet na hakuna ttcl broadband...nimeanzisha internet cafe yangu ya kizushi ya kutumia moderm ila nilitaka nitanuke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.