Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kawaida Jukwaa hilo la mitandao ya kijamii huwa na kikomo cha machapisho hadi herufi 280 na kusema hatua hiyo ni kuboresha huduma kwa wateja wao. Majaribio hayo yanatarajiwa kuchukua muda wa...
1 Reactions
2 Replies
976 Views
Guyz habari zenu, naombeni Msaada kidogo hapa Simu yangu nimeipoteza kwa bahati mbaya tu nina siku ya 6 leo, nikipiga inaita mpaka leo hii. Nikituma sms zinafika, ila najibiwa kuwa sitarudishiwa...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu nilikua nataka laptop kwa matumiz mbalmbal ila nmekuta zingine zina nvidia geforce. Sasa kwa mfano Mimi ni mtu wa PC games kama far cry,NFS,col of duty na mengine hasa racing na games za...
0 Reactions
249 Replies
26K Views
Wakuu nataka ninunue domain Godady Sasa naomba kujua kwanza kama Godady wanafanya Hosting?? Lakini pia kama hawafanyi basi ni njia Gani naweza kutumia ili nifanye hosting ya bei Chee. Msaada...
1 Reactions
10 Replies
876 Views
DNA inaweza kutumika kuhifadhi movies , songs na photos Bila kikomo. Teknolojia hii imegunduliwa Cambridge University. CHEKI VIDEO
0 Reactions
1 Replies
562 Views
Kwema wana jamvi....?? Poleni na mihangaiko ya kutwa. Kama mada hapo juu inavyojieleza, niko na install Windows 10 kwa PC yangu lakini inaniletea ujumbe kama inavyoonekana kwenye Screen short...
0 Reactions
1 Replies
658 Views
Habari wakuu. Natumai mpo sawa kabisa, naomba msaada kama kuna App au njia ya kuzuia system apps kama vile calls na sms apps zisifanye kazi kwenye Infinix note 10. Nimejaribu ku-freezer kwa app...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Wakuu, Naomba msaada jinsi ya kucreat Instagram AD.
0 Reactions
1 Replies
574 Views
Habari wakuu Tech,Gadgets Kuna wakati unakuwa huhitaji baadhi ya apps au huzitumii kwa wakati husika, Mara nyingi hizi apps zinakuwa zinapunguza SPEED, zinatumia CHARGE kwa kiasi kikubwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini za majukumu nina shida na Power bank Kama hii huwa zina 2600mah ..mwanzoni nilipata ilikuja na simu ya mtu itel zamani sana. Je, kwa Sasa naweza pata? Niko Arusha.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau natafuta fundi mzuri wa laptop aina ya Fujistu kurekebisha speaker na vitu vidogodogo kwa hapa Dar. It's urgent
0 Reactions
0 Replies
399 Views
Hi mambo niaje... Kwa wale wapenda burudani ya music kama mimi, Equlizer Apo ni software ya window inayokupa uwezo wakuset usikivu wa music kwa naamna unavyotaka wewe Software hi inakuja na uwezo...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
"Mnaionaje ile simu ya "INFINIX HOT 10 PLAY" yenye RAM 4,na GB 64, na 6000mah.kwa aliewahi au anaeitumia vipi ni simu nzuriii wadau???,nielekezeni mwanzenu.
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Habar zenu wakuu wa humu ndani, Kuna TV nahitaji kununua (maelezo yake yapo katika picha), nakuiunganisha na circuit breaker kwa ajili ya usalama. Je, nichague circuit breaker yenye rating...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu zangu habari za leo?? Samahani nina shida kwenye simu yangu ya iPhone 6plus S, yaani kuchaji ni kwa shida sana maana chaja mpaka uikunje.. Nikaacha kuitumia kwa muda wa kama miezi miwili...
0 Reactions
2 Replies
627 Views
Wakuu naomba kujuzwa App Lock ipi nzuri na kama utalipia basi isiwe Gharama Kubwa. Nawasilisha.[emoji120]
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kampuni kubwa ya kiteknolojia ya Marekani Apple imekuwa kampuni ya kwanza kupata hesabu ya soko la hisa ya $3tn (£2.2tn). Bei ya hisa za kampuni hiyo ilipanda kwa karibu asilimia The firm's share...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 𝘄𝗮𝗺𝗲𝗼𝗻𝗴𝗲𝘇𝗲𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗯𝗼 𝗷𝗶𝗽𝘆𝗮 Hatimaye mambo mazuri yanazidi kunoga kwenye Whatsapp baada ya kuongeza nafasi ya kuweza ku add watu wengi. Zaidi kwenye ma groups !! Tunajua kuunda vikundi...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
Salamu wakuu, Naomba kuuliza kama inawezekana kushoot Video contents kwa ajili ya ku-upload YouTube lakini kwa kutumia camera ya simu kisha kuedit n.k?
0 Reactions
0 Replies
269 Views
Habar zenu wana forum natumai mko Poa kbsa, naomb msaada wadau km heading inavojieleza hapo juu. Nmejarbu kufuata tutorial nyingi za kuinstall Kali linux kw android lkn nashindwa. Msaada wenu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom