Helo wakuu,
Mimi sio mwenyeji sana hapa jukuani. Mtanisamehe kwa uandishi. Mimi ni mdau mkubwa sana wa technologia ila ni vile tu nilichagua mlengo usiofaa. Nikirudi miaka 15 sasa hivi nachagua...
Habari za leo wajamvi?
Kama heading invyosema hapo juu. kwa sasa Samsung mobile phones zinaonekana kutoa mid range budget phones kwa kasi sana kila leo ili kuendana na makampuni ya simu ya...
Asilimia 90% wa tunaotumia JF hapa tunatumia majina ya uongo tukiamini hatuwezi kujulikana ni nani. Swali kwa wataalamu ni;
1. Polisi wakiamua kutumia TCRA kuangalia computer inayotype ni ya...
Wakuu, katika pitapita zangu niliamua kulitazama hili suala la kuwa anonymous hasa unapotumia internet.
Kuna sababu nyingi za mtu kutaka kuwa anonymous mtandaoni, mfano kujilinda na kutaka...
Niaje Wazee....
Leo ningependa ku share na nyie jinsi gani mnaweza ku-activate window(Version 10) bila kuwa na Product au License Key
Kabla hatuja ona solution ni vyema kujua nini tunakifanya...
Wakuu kuna jamaa yangu ana tv aina ya aborder haisapport baadh ya muvie inaandika unsupported format wakat hizo muvie mim nazichek kwenye tv yangu aina ya rising vizur tu
Hivyo naomba kufaham ni...
Habari zenu wana JF mliomo humu, kwa heshima na adabu naombeni msaada katika kueleweshwa kuhusiana na mambo yafuatayo:
-Hivi kati ya Blog, website na application ni kipi chenye ushawishi mkubwa...
Wakuu salaam.
Nna TV yangu flat screen kabila ni LG imeacha kuonesha ghafla.
Sauti iko vizuri ila picha ndo haileti ipo kiza kwenye screen na picha inaonekana kwa mbaaaali. Fundi alisema ni AC...
Self disseminating or self spreading vaccines are on their way, whether we want or like it. These will also be vaccines which spreads from person to person.The demons are marching forward no...
KWA UFUPI
Kuna masuala kadhaa yanayoweza kutokea kutokana na simu kupotea au kuibiwa. Na mambo haya yanaweza kumfikisha mwenye simu au kifaa husika katika vyombo vya sheria na hata kufungwa...
Mimi ninamiliki blog blogger ila katika pita pita zangu naona kuna wordpress je yupi ni bora
Faida ya worldprss kuzid blogger na hasara zake
Na ukitaka kuhama kuja worldprss bila kupoteza post...
Habarini wanajukwaa Samahani, ninaomba msaada kwa mwenye kujua, maana hii account inaonekana inawatumia watu sms za kazi ambayo malipo yake kwa siku ni 50,000 kitu ambacho si kweli ni utapeli...
Wasalaam....swali langu lajieleza, nina simu ya Azumi (ya kampuni moja ya simu) inayotumia laini ya mtandao mmoja tu sasa nataka kutumia mitandao yote je naweza kuibadirisha kwa kui-root au...
Jamani hata hii ni ya kukosa !!!
Jipatie flexible keyboard nzuri imara Toka Laptops and accessories]] kwa bei simple Sana
𝗙𝗹𝗲𝘅𝗶𝗯𝗹𝗲 𝗸𝗲𝘆𝗯𝗼𝗮𝗿𝗱
Ni aina ya keyboard imetengenezwa kwa njia ya...
Habari wadau hope mpo poa
Niende kwenye mada sisi wengine kuclaim mambo ni mwiko tunataka kujua programming very in deep
Sasa km ww ni programmer hope umewah kutumia preprocessors like stdio.H...
Hi kwa niaba ya mdau wangu
Natarajia kuingia mjini kesho
Mwenye Ups tajwa hapo juu msaada ili nisizunguke sana
Uweso
Kva 10 pc 2
Kva 20. 3:3phase pc 2
Kva 30 3:3 phase 1pc
Hizi kabla ya...
Habari wakuu
Nina mpango wa kununua moja kati ya izo brand za BRENDER
Je ipi ni bora maana nataka heavy duty brender ya 3000w?
Na je ni kweli zinauwezo wa kusaga nyama? Au ni story tu?!
Karibu sna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.