Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani mie nashindwa kuelewa hawa mafisadi wa Vodacom yaani karibia miezi miwili sasa kila nikinunua bundle yaani baada ya dakika chache tu unaambiwa bundle yako imekwisha jaza hela tena...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nilikuwa nataka kudownload muvi za 700 mb na series mbalmbal, sasa ninauliza ni website gani naweza pata torrents so as nikadownload muvi? Na pia ni site gani inastore kubwa ya muvi ukiacha...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Kati ya symbian,Android na Windows mobile ni OS ipi inamwelekeo wa kuibuka mshindi(Symbian na mashaka nayo cause Nokia wame Partner na MS to promote Window Phone) At practical kati ya simu...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wana Jf bila kumsahau guta. Kuna hii simu ya Nokia 5800 music express, touch screen ya korea ina ubora ule ule kama za Europe?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajumbe samahani hivi unapofungua mafail kwenye mtandao mengine yanakuwa yameandikwa (pdf) mwanzon kabisa na mara nyingi huwa yanataka udownload na hata nikidownload nikifungua inasema file...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Suddenly I find that "word count" is not working on my computer with vista OS, word 2007. It is showing all zero. Is there a way to reset it to count?
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Any challenges? PHP, JAVA??? yaani hamna maswali ya computer zaidi ya kuchakua?:tonguez:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
UTAGULIZI Mambo ya Richmond sio tu kwetu. Labda kwa kusoma hivi tunaweza kusmile at least for few mnutes tukijiliwawaza yanayotokea kwetu na kule mbele yanatokea teh teh teh .... Apple Sucked...
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Hi guys Nimeunguza adapter ya xbox yangu, naomba msaada kama kuna mtu anayejua zinapouzwa hapa(dar tanzania) anijulishe. Au kama kuna fundi anayeweza kuifix, basi anijulishe kwa private message...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Do i need to have a laptop and a tablet?...tofauti na 'uportability' tablets zina nini zaidi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa sasa kasi kubwa ni katika kuhamia mobile web na mobile app vitu ambavyo ni viwili tofauti ingawa all in all kazi yao ni moja tu sharing information! Je, kwa bongo trend yetu kwa sasa ipo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
The capsule will carry four astronauts and be based on designs originally planned for NASA's Orion Crew Exploration Vehicle. Miami (CNN) -- NASA plans a return to yesteryear by developing...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
habari jf,kuna simu nimeletewa kwa ajili ya kununua inaitwa htc model yake sijaijua ila ina slide.sijawahi kutumia simu kama hii.mwenye maujuzi nayo naomba anijuze,ubora wake udhaifu wake nk.na je...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Adobe imejitokeza kua kampuni iliyoshika hatamu katika sekta ya 2D graphics-walio wengi katik yetu-ukiwatajia "Adobe" wanadhani ni "Photoshop" au "Adobe Reader", but ukweli ni kwamba, adobe ni...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Scientists Discover Rain-Making Bacteria By John von Radowitz High-flying bugs in the atmosphere may largely be to blame for bad weather, scientists believe. Numerous bacteria have been found...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Wanajamii wenzangu,naombeni msaada wa security code Nokia X3-02,nimejaribu kuweka default ya 12345 ila imekataa na simu yenyewe ni mpya,msaada tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimejaribu kutumia opera version zote bt katika zote hzo yahoo page haifunguki, nifanyeje ili niweze fungua yahoo kwa opera. Simu ninayotumia ni samsung gt e2152. Message inayokuja ni kwamba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Salaam, Natafuta simu nzuri ya double line yenye TV na FM nitapata duka gani na make gani ni nzuri? Mdau
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani toka nianze kutumia king'amuzi cha Startmies stations ya channel ten badala ya kusikia sauti ya kipindi husika nasikia matangazo ya radio Magic fm . sasa hata sielewi ni mimi tu au maana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sasatel internet modem;goes for tzs 30,000 but i sell mine at tzs 18,000 ttcl internet banjuka modem goes for tzs 29,900 but i sell mine at tzs 18,000 both modems are in good condition and i...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom