Jamani mie nashindwa kuelewa hawa mafisadi wa Vodacom yaani karibia miezi miwili sasa kila nikinunua bundle yaani baada ya dakika chache tu unaambiwa bundle yako imekwisha jaza hela tena...
Nilikuwa nataka kudownload muvi za 700 mb na series mbalmbal, sasa ninauliza ni website gani naweza pata torrents so as nikadownload muvi? Na pia ni site gani inastore kubwa ya muvi ukiacha...
Kati ya symbian,Android na Windows mobile ni OS ipi inamwelekeo wa kuibuka mshindi(Symbian na mashaka nayo cause Nokia wame Partner na MS to promote Window Phone)
At practical kati ya simu...
Wajumbe samahani hivi unapofungua mafail kwenye mtandao mengine yanakuwa yameandikwa (pdf) mwanzon kabisa na mara nyingi huwa yanataka udownload na hata nikidownload nikifungua inasema file...
UTAGULIZI
Mambo ya Richmond sio tu kwetu. Labda kwa kusoma hivi tunaweza kusmile at least for few mnutes tukijiliwawaza yanayotokea kwetu na kule mbele yanatokea teh teh teh ....
Apple Sucked...
Hi guys
Nimeunguza adapter ya xbox yangu, naomba msaada kama kuna mtu anayejua zinapouzwa hapa(dar tanzania) anijulishe. Au kama kuna fundi anayeweza kuifix, basi anijulishe kwa private message...
Kwa sasa kasi kubwa ni katika kuhamia mobile web na mobile app vitu ambavyo ni viwili tofauti ingawa all in all kazi yao ni moja tu sharing information!
Je, kwa bongo trend yetu kwa sasa ipo...
The capsule will carry four astronauts and be based on designs originally planned for NASA's Orion Crew Exploration Vehicle.
Miami (CNN) -- NASA plans a return to yesteryear by developing...
habari jf,kuna simu nimeletewa kwa ajili ya kununua inaitwa htc model yake sijaijua ila ina slide.sijawahi kutumia simu kama hii.mwenye maujuzi nayo naomba anijuze,ubora wake udhaifu wake nk.na je...
Adobe imejitokeza kua kampuni iliyoshika hatamu katika sekta ya 2D graphics-walio wengi katik yetu-ukiwatajia "Adobe" wanadhani ni "Photoshop" au "Adobe Reader", but ukweli ni kwamba, adobe ni...
Scientists Discover Rain-Making Bacteria
By John von Radowitz
High-flying bugs in the atmosphere may largely be to blame for bad weather, scientists believe.
Numerous bacteria have been found...
Habari Wanajamii wenzangu,naombeni msaada wa security code Nokia X3-02,nimejaribu kuweka default ya 12345 ila imekataa na simu yenyewe ni mpya,msaada tafadhali.
Nimejaribu kutumia opera version zote bt katika zote hzo yahoo page haifunguki, nifanyeje ili niweze fungua yahoo kwa opera. Simu ninayotumia ni samsung gt e2152. Message inayokuja ni kwamba...
Jamani toka nianze kutumia king'amuzi cha Startmies stations ya channel ten badala ya kusikia sauti ya kipindi husika nasikia matangazo ya radio Magic fm . sasa hata sielewi ni mimi tu au maana...
Sasatel internet modem;goes for tzs 30,000 but i sell mine at tzs 18,000
ttcl internet banjuka modem goes for tzs 29,900 but i sell mine at tzs 18,000
both modems are in good condition and i...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.