Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
By now everyone has heard about LinkedIn’s spectacular IPO this week, quite possibly the most significant public offering by a Web business since Google. Other Internet companies such as Groupon...
0 Reactions
2 Replies
927 Views
Samahani wadau,nimenunua modem ya vodacom lakini naona ni kama wame nifanyia uhuni maana kwenye windows inafanya kazi vizuri ila kwenye linux haifanyi kazi kabisaaaaa! Naomba mwenye kuweza...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimenunua dvd ya imation +R DL 8.5 GB na rafiki yangu kaniwekea data humo lakini alipojaribu kuicheza kwake inafunguka lakini haionyeshi kitu, na nimeichukua na mimi nimejaribu kuicheza kwenye DVD...
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Wadau kuna mdogo wangu anaendesha shughuli za kukodisha music katika harusi, disco, mikutano nk, katika kukabiliana na washindani wake ilibidi tutafute pc ili kuboresha na kuvutia zaidi wateja...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
USB MINI Fridge China Wholesale - Everbuying.com This USB Fridge is the only way to keep your drink cold while you are at your computer and it looks cool in any desktop. With this mini fridge at...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
wakuu leo najaribu kuingia kwenye e mail yangu ya yahoo lakini haifunguki ni mimi tu ama nyote?!! nisaidieni watalaamu
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Samahani wadau kuna swala nashidwa kujua pale unapompigia mtu simu afu sauti yake inatoka ikiskika kama ya mzee(kiumri) hivi ni tatizo la simu au network?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samahani wadau kuna swala nashidwa kujua pale unapompigia mtu simu afu sauti yake inatoka ikiskika kama ya mzee(kiumri) hivi ni tatizo la simu,network au kitu gani?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari? Naomba msaada wa kufanya connection ya C# Window form to MS access Database... Nimejaribu ku connect, but kuna error: OleDBConnection not found Ila nimeimport System.Data.OleDb; But...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani wajumbe hivi modem ya ttcl inachakachulika na kutumia mitandao yote.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu mimi hii computer yangu ya HP imekwama. Kwa siku kama tatu imekuwa ikikwama kufungua page au kutii komandi mapema. HDD yangu imefanyiwa partition na ina drive ya C na D. Drive C ina OS ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu wa Kazi Mambo Vipi? Jamani Naomba Mnisaidie Akili na Mawazo Kidogo. Nimefungiwa wireless Internet Sasa nataka Mpaka Office zingine waweze kupata Internet Nikapata wazo la Kufunga d-link...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Laptop yangu ina windows vista, but nataka nitumie windows xp 2p2, can i downgrade without loosing my data?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naombeni mnipe jinsi ya kudownload signed version of opera mini 4.3 maana ninayo ambayo si signed hivyo siwezi save page. Asanteni sana.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ni takribani kama miezi sita sasa toka tufanye uchaguzi. Sijawai kusoma makala ya kitaalamu isiyokuwa ya kisiasa juu ya mchango mapungufu ya kiufundi au vifaa vya KI ICT kwenye uchaguzi wetu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, Hivi hizi "unlimited bundles" za Sasatel ni unlimited kwa maana halisi au kwa maana ya wao kukupa MB fulani, kisha zikiisha hizo, unaongezea nyingine kwa gharama ya ziada? Ninauliza hivyo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani habari za Jioni Nahitaji Internet Connection yenye Speed kubwa kwa kampni ya watu kama 15 ambayo tunaweza kudownload chochote tunachokihitaji na ambayo haina tatizo kabisa je ni ipi kamuni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sasatel na Simply Computers nawapa siku 60 na ndani ya siku hizo muwe mmenilipa pesa zangu na kuniomba radhi,kunilipa pesa zangu na kunipa fidia kwa kunipotezea muda na nishati yangu niliyopewa na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wajumbe naomba mnipe uwezo wa kuchagua modem ambayo iko rahisi kuitumia kiuchumi pamoja na speed.
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Vp wana JF, Naombeni mnielimishe katika hili, nimekuwa nikienda dukani kutafuta simu flani eg Nokia 5800 music express nikaambia tuna simu ya mchina original! Nisaidieni hivi kweli kuna simu ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom