By now everyone has heard about LinkedIns spectacular IPO this week, quite possibly the most significant public offering by a Web business since Google. Other Internet companies such as Groupon...
Samahani wadau,nimenunua modem ya vodacom lakini naona ni kama wame nifanyia uhuni maana kwenye windows inafanya kazi vizuri ila kwenye linux haifanyi kazi kabisaaaaa!
Naomba mwenye kuweza...
Nimenunua dvd ya imation +R DL 8.5 GB na rafiki yangu kaniwekea data humo lakini alipojaribu kuicheza kwake inafunguka lakini haionyeshi kitu, na nimeichukua na mimi nimejaribu kuicheza kwenye DVD...
Wadau kuna mdogo wangu anaendesha shughuli za kukodisha music katika harusi, disco, mikutano nk, katika kukabiliana na washindani wake ilibidi tutafute pc ili kuboresha na kuvutia zaidi wateja...
USB MINI Fridge China Wholesale - Everbuying.com
This USB Fridge is the only way to keep your drink cold while you are at your computer and it looks cool in any desktop.
With this mini fridge at...
Samahani wadau kuna swala nashidwa kujua pale unapompigia mtu simu afu sauti yake inatoka ikiskika kama ya mzee(kiumri) hivi ni tatizo la simu au network?
Samahani wadau kuna swala nashidwa kujua pale unapompigia mtu simu afu sauti yake inatoka ikiskika kama ya mzee(kiumri) hivi ni tatizo la simu,network au kitu gani?
Habari?
Naomba msaada wa kufanya connection ya C# Window form to MS access Database...
Nimejaribu ku connect, but kuna error: OleDBConnection not found
Ila nimeimport System.Data.OleDb;
But...
Wakuu mimi hii computer yangu ya HP imekwama. Kwa siku kama tatu imekuwa ikikwama kufungua page au kutii komandi mapema.
HDD yangu imefanyiwa partition na ina drive ya C na D. Drive C ina OS ya...
Wakuu wa Kazi Mambo Vipi? Jamani Naomba Mnisaidie Akili na Mawazo Kidogo.
Nimefungiwa wireless Internet Sasa nataka Mpaka Office zingine waweze kupata Internet Nikapata wazo la Kufunga d-link...
Ni takribani kama miezi sita sasa toka tufanye uchaguzi. Sijawai kusoma makala ya kitaalamu isiyokuwa ya kisiasa juu ya mchango mapungufu ya kiufundi au vifaa vya KI ICT kwenye uchaguzi wetu...
Wakuu,
Hivi hizi "unlimited bundles" za Sasatel ni unlimited kwa maana halisi au kwa maana ya wao kukupa MB fulani, kisha zikiisha hizo, unaongezea nyingine kwa gharama ya ziada? Ninauliza hivyo...
Jamani habari za Jioni
Nahitaji Internet Connection yenye Speed kubwa kwa kampni ya watu kama 15 ambayo tunaweza kudownload chochote tunachokihitaji na ambayo haina tatizo kabisa je ni ipi kamuni...
Sasatel na Simply Computers nawapa siku 60 na ndani ya siku hizo muwe mmenilipa pesa zangu na kuniomba radhi,kunilipa pesa zangu na kunipa fidia kwa kunipotezea muda na nishati yangu niliyopewa na...
Vp wana JF, Naombeni mnielimishe katika hili, nimekuwa nikienda dukani kutafuta simu flani eg Nokia 5800 music express nikaambia tuna simu ya mchina original! Nisaidieni hivi kweli kuna simu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.