Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani wadau naombeni mnisasidie nijue namna ya kudownload miziki kutoka kwenye web mimi ni mpenzi wa miziki lakini sijjui nifanyeje , msaada wadau na wapenzi wa muziiki
0 Reactions
6 Replies
5K Views
wajuzi jamani nimeshindwa kufanya installati kwenye window 7 royale xp, printa yangu ni hp laserjet p 2015. Installation naifanya kupitia network. Inapofikia kwenye kuchagua product, selection...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wandugu majuzi Aunt wangu alialikwa na binti yake kwenda USA kwa matembezi, akaja akafikia kwa mwanae wakike mwalimu, wakaanza mchakato wa safari. Walihangaika sana kwa takribani mwezi wasijue...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimefikiria nianzishe post hii kwa watu wenye mapenzi mema tubadilishane vitu tunavyoweza kubadilishana bure kabisa ikiwa ni pamoja:- 1. Software 2. Vitabu mbalimbali 3. Details za kupata chuo...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Sharp Makes World's First 7680 x 4320 Resolution LCD - Softpedia
0 Reactions
0 Replies
816 Views
:a s 103: habari za mida hii.. Jamani naomba serial keys za karsperksy 2011
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu wana great thinkers.nina cm yangu aina ya sumsung sgh 70 3G, imevunjika display na nimetafuta nimekosa.sasa nataka nibadili matumiz niifanye modem.vp inafaa niifanye modem?nina cd prgm yake...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
P-O-R-N BLOCKER is a powerful software application used for blocking pornographic material. It will protect your family or classroom from inappropriate material on the Internet. If inappropriate...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wataalam wanajami na wadau wa jukwaa la teknolojia . Leo naedelea kuleta mada za Tovuti Nianze na maswali .au julize maswali haya Je Unajua thamani( value) ya tovuti kama...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
program is a very good tool that can be used to steal votes during elections especially during the tallying. What can be done is just taking the input votes deduct X% from W, R and Z send to C...
0 Reactions
0 Replies
913 Views
1. Google.com -Ni kama google ndo internet kwa sasa. inatwa search engine ila naita search answer website/engine. Inashangaza kuna watu wanakuwa wavivu wa kujishughulisha. Anauliza swali au...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Ndugu wana great thinkers.nina cm yangu aina ya sumsung sgh 70 3G, imevunjika display na nimetafuta nimekosa.sasa nataka nibadili matumiz niifanye modem.vp inafaa niifanye modem?nina cd prgm yake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu naomba msaada jinsi ya kuweka picha itokee kubwa kwenye post kila picha ninayoweka inakuwa ndogo, picha zote ninazoweka ninatoka kwenye pc yangu kuna mtu aliniamia copy and paste...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya kufungwa ile ya mwanzo, project bado inaendelea. Kwa mwendo ule ule wa kobe. Ukitaka kushiriki, si vibaya. Ila kunzia sasa mpaka ikae sawa, ni mwendo wa kidikteta dikteta. project web...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani natumia Modem aina ya Huawei E220 ya zain, kabla nilikua nasubscribe kwa fulldata na ilikua iko poa sana, hadi nikawa ambassador wa kujitolea wa airtel, nikawa nawashauri watu wajoin...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
its true that by the use of technolog(information technology and information system ) tunawe kufanikisha mambo mengi kweli na kuweza kubalance mda pamoja na fedha kwa ajili ya matumizi mengine kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimesoma articles mbali mbali mbali zinzotabiri kuwa bidhaa inayoitwa CD& DVD storage and Drive zitakosa umuimu kwenye soko. kama ilivyokuwa Diskette. Leo hii Diskket drive na diskette...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari? Nina note book yangu nikiiwasha hua haidisplay kitu, lakini inaonesha imewaka, kuna rafiki alisema ali-force kui-shut down baada ya kufungua mafile mengi. Naomba msaada wenu. Ahsante
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF Nimenunua king'amuzi cha Star Times. Wauzaji waliniuliza hali ya ninapoishi na kunishauri nitumie antena ya kawaida ili mradi tu inashika TBC kwani ile ya kwao ndogo haitashika mawimbi...
0 Reactions
2 Replies
10K Views
NimeInstall Xp lakini siyo Ginuwine,Nimejaribu kudownload labda keygens za aina tofauti tofaoti nimekosa kabisa na zingine hazikubali.Je wataalamu mnaweza nielekeza wapi ntapata XP loader...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom