Jamani wadau naombeni mnisasidie nijue namna ya kudownload miziki kutoka kwenye web mimi ni mpenzi wa miziki lakini sijjui nifanyeje , msaada wadau na wapenzi wa muziiki
wajuzi jamani nimeshindwa kufanya installati kwenye window 7 royale xp, printa yangu ni hp laserjet p 2015. Installation naifanya kupitia network. Inapofikia kwenye kuchagua product, selection...
Wandugu majuzi Aunt wangu alialikwa na binti yake kwenda USA kwa matembezi, akaja akafikia kwa mwanae wakike mwalimu, wakaanza mchakato wa safari.
Walihangaika sana kwa takribani mwezi wasijue...
Nimefikiria nianzishe post hii kwa watu wenye mapenzi mema tubadilishane vitu tunavyoweza kubadilishana bure kabisa ikiwa ni pamoja:-
1. Software
2. Vitabu mbalimbali
3. Details za kupata chuo...
Ndugu wana great thinkers.nina cm yangu aina ya sumsung sgh 70 3G, imevunjika display na nimetafuta nimekosa.sasa nataka nibadili matumiz niifanye modem.vp inafaa niifanye modem?nina cd prgm yake...
P-O-R-N BLOCKER is a powerful software application used for blocking pornographic material. It will protect your family or classroom from inappropriate material on the Internet. If inappropriate...
Wataalam wanajami na wadau wa jukwaa la teknolojia . Leo naedelea kuleta mada za Tovuti
Nianze na maswali .au julize maswali haya Je
Unajua thamani( value) ya tovuti kama...
program is a very good tool that can be used to steal votes during elections especially during the tallying. What can be done is just taking the input votes deduct X% from W, R and Z send to C...
1. Google.com -Ni kama google ndo internet kwa sasa. inatwa search engine ila naita search answer website/engine. Inashangaza kuna watu wanakuwa wavivu wa kujishughulisha. Anauliza swali au...
Ndugu wana great thinkers.nina cm yangu aina ya sumsung sgh 70 3G, imevunjika display na nimetafuta nimekosa.sasa nataka nibadili matumiz niifanye modem.vp inafaa niifanye modem?nina cd prgm yake...
wakuu naomba msaada jinsi ya kuweka picha itokee kubwa kwenye post
kila picha ninayoweka inakuwa ndogo, picha zote ninazoweka ninatoka kwenye pc yangu
kuna mtu aliniamia copy and paste...
Baada ya kufungwa ile ya mwanzo, project bado inaendelea. Kwa mwendo ule ule wa kobe. Ukitaka kushiriki, si vibaya. Ila kunzia sasa mpaka ikae sawa, ni mwendo wa kidikteta dikteta.
project web...
Jamani natumia Modem aina ya Huawei E220 ya zain, kabla nilikua nasubscribe kwa fulldata na ilikua iko poa sana, hadi nikawa ambassador wa kujitolea wa airtel, nikawa nawashauri watu wajoin...
its true that by the use of technolog(information technology and information system ) tunawe kufanikisha mambo mengi kweli na kuweza kubalance mda pamoja na fedha kwa ajili ya matumizi mengine kwa...
Nimesoma articles mbali mbali mbali zinzotabiri kuwa bidhaa inayoitwa CD& DVD storage and Drive zitakosa umuimu kwenye soko. kama ilivyokuwa Diskette. Leo hii Diskket drive na diskette...
Habari?
Nina note book yangu nikiiwasha hua haidisplay kitu,
lakini inaonesha imewaka,
kuna rafiki alisema ali-force kui-shut down baada ya kufungua mafile mengi.
Naomba msaada wenu.
Ahsante
Wana JF Nimenunua king'amuzi cha Star Times. Wauzaji waliniuliza hali ya ninapoishi na kunishauri nitumie antena ya kawaida ili mradi tu inashika TBC kwani ile ya kwao ndogo haitashika mawimbi...
NimeInstall Xp lakini siyo Ginuwine,Nimejaribu kudownload labda keygens za aina tofauti tofaoti nimekosa kabisa na zingine hazikubali.Je wataalamu mnaweza nielekeza wapi ntapata XP loader...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.