Wanajamii forum nimerudi tena niko mbioni kuzindua application ya ngu ya bongo music tune wakati wowote karibu
maelezo zaidi
ingia kwenye facebook search:bongo music tune
Kuna kitu kimekuwa kikinichanganya sana wakati wa kutuma email. To:hapa ni mahali pa kujaza email add ya yule unayemwandikia. Cc: tangu zamani ni sehemu ya kujaza add ya mtumd email. Sasa ,Bcc...
msishtuke na wala sijakosea hii thread ndo mahala pake hapa
Tujaldili
Process au hatua gani zinafanyika kuanzia mwanzo hadi mwisho mpaka bidhaa ya kondom ikazalishwa
Malighafi/raw...
Guys have been trying ku'download videos in form of ''torrents'' by using Bit Torrent in a wireless network...internet speed ipo safi kabisa but the files dat i want kudownload the download...
Gurus,
I need your help. We have a system developed using php and mySQL, running on windows OS with XAMPP.
To simplify installation I would like to have wise installer for this system.
Any...
Wadau katika pitia pitia yangu ya google kutaka kujua speed halisi anayotoa ISP wangu nimekutana na hii site Speedtest.net - The Global Broadband Speed Test click the link then click BEGIN TEST...
Wakuu Habari,
naomba munisaidie nawezaje kufungua "word document" iliyo na password (siijui password iliyowekwa), kama kuna software ya kufanya hilo naiomba.
Natanguliza shukrani,
Mak.
Kwenu Wataalamu JF. Nina maswali mawili ambayo wengi wenu mnaweza kuyaona ni rahisi lakini kwa sisi ambao tumeanza ;kucheza' na Computer baada ya kustaafu kazi ofisi za serikali zisizo na Computer...
PLEASE, Naomba mnisaidie wadau. Laptop yangu ina OS mbili. Ubuntu na XP. Nikitumia ubuntu mambo poa ila nikilog-in kwenye windows XP haisomi flash wala externel, I don know how to solve it. I NEED...
Wadau naomba msaada wenu kuna ndugu yangu amenunua laptop
Ila akijaribu kuingia inamwambia imefungwa biodisk sasa ananiambia inabid i aingie kama guest.
Amepeleka kwa mafundi kadhaa hapo dar...
salama wakuu? Tatzo langu ni moja,kuna jamaa yangu nilimuazima external yang aina ya transcend 500gb akacopy movie,sasa sijui alifanyaje nikiikonect kwenye pc huweiz kuiona kwenye my computer japo...
Naomba msaada me ni member ila huwa najaribu kuchangia maada mbalimbali wanazoanzisha wajumbe ila nimepewa warning kuwa ushiriki wa acount yangu hauonekan hivyo naombeni msaada khs jinsi gani...
Habari Jf.Mi nna diploma in clinical medicine .Malengo yangu mwaka huu ni kurudi chuoni MUHAS/SUA.Nime2mia muda mwingi kutafuta forms tajwa hapo juu bila mafanikio.Ninashimdwa kuelewa kuwa tatizo...
Miaka michache iliyopita tuliwahi kuwa na mazumzo na watu Fulani kuhusu Punguzo la Programu za komputa zinazotumika sana na Watu nchini haswa zile za Kampuni la Microsoft kama Microsoft Office ...
salama wanatekno...guys nimesikia huduma ya tigo ya data ni nzuri...sasa mimi siwez kupata mtandao wao wanaodai ni wa 3G Napata EDGE tu....tafadhalini msaada kwa hl,shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.