Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naombeni kufahamu bei pamoja na matengezo ya kufunga kioo cha simu Mafund mnipm tufanye kazi ni serioius ishu.
0 Reactions
3 Replies
36K Views
Tafadhari shufu somo hapo juu. Samsung ina button moja inayokuletea app ya Bixby,, toka niinunue ni mwaka sasa sijaitumia hyo app maana naona km wenge to . Nan mwenye kujua onafanyakaz gn...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wakuu nawezaje kujaza picha wakati ina play kwenye Netflix maana haijaa kwenye screen..
1 Reactions
8 Replies
666 Views
Jamani msaada wenu tafadhali. Nina TV aina ya TCL yenye kingamuzi ndani tatizo chaneli zote zina pini. Mwenye kuweza kutoa msaada tafadhali natumia cam card
0 Reactions
6 Replies
2K Views
N/B-Wazo (au niche) ninalo tayari. Sina computer knowledge.
0 Reactions
12 Replies
698 Views
apple jana walizindua vitu vingi kwenye event yao lakini kwenye macho yangu niliona ni vya kawaida na havikuwa vya kushangaza. ila pale nilipokuja kuiona mac mini nilishangaa sana na sikutegemea...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Keyboard ya laptop yangu (DELL) ilimwagikiwa soda, hivyo imekuwa useless, saivi nawaza namna ya kupata nyingine. nappenda kujua inaweza kughaarimu bei gani? model: V137325AK1. Natanguliza shukrani
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wakuu nawasalimu kwa jina la jamhuri naomba kufahamu brand za wireless head phone nzuri za bei ya kuanzia 20k -30k zinazokaa na chaji kwa mda kidogo na base na sound quality nzuri
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Baada ya ku-install hio pes nimeshangaa wakati wa kuifungua inaniandikia kama picha inavoonesha chini apo sijui nimekosea nini au wapi na nifanyaje?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
" Hapana, binafsi naandika programu mbalimbali kwa lugha tano tofauti, na Google pamoja na StackOverflow vimekuwa msaada wangu mkubwa. Proffesor wangu mmoja chuo kikuu aliwahi kusema " haulipwi...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wakuu nimevutiwa sana na hizi alienware gaming laptop, nauliza kuhusu bei zake pamoja na ubora wake ukishindanisha na kampuni kama hp omen, acer, msi, na je hizi msi gaming laptop zina...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu kwema? Tueleweshane kidogo kwa wale wanaofahamu. Ni vigezo gani hutumika kuifanya nyimbo kuuza mauzo ya Platinum. Kwa mfano hii Essence ya Wiz Kid imefikisha Mauzo hayo ndani ya U.S.A Baada...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Siku hizi kuna wimbi kubwa la vijana hasa waliopo na waliohitimu vyuo vikuu kumiliki laptops.Mimi nipo kijijni na elimu yangu ni std vii lkn nimejaliwa kupata vipesa na sasa nahitaji kununua...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Naomba kujua aina za sub meter na bei zake. Nilimuuliza jamaa mmoja hivi, akadai kuna submeter aina moja tu inayohesabu tu na haina button Ktk kugoogle naambiwa zipo za button Je, hizo za button...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Katika pitapita zangu kule kijijini kwetu AliExpress nikaona simu za aina tajwa hapo juu, je kuna yeyote anayejua uhalisia wa hiyo simu maana naona specs zake si mbaya kwa watumiaji wa vipato vya...
2 Reactions
6 Replies
792 Views
Wakuu habari zenu, Naiman mu wazima wa Afya. Wakuu Nina simu yangu Samsung Galaxy S7 edge ina tatizo kubwa linalo ninyima raha Wakuu simu yangu haikai na charge yan nikicharge nikifungua data...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Wakuu kama naomba masada kama wiki3 zilizopita kuna uzi uliwekwa wa FREE AZAM APP.. ambayo hulipii chochote, kuna KITU kama code scanner ndio iliwekwa ukishascann unakuwa uninstall... Hivyo...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari za wakati wana jamii forum, king'amuzi changu cha azam ghafla kimegoma kuonesha ili hali kila kitu kiko sawa kwa maana nkifunga kingine kina fanya kazi vizuri tu je shida inaweza kua nini...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nahitaji Samsung A32 used...0687708815
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Habari nimefanya malipo siku ya pili leo kwenye dish la azam lakini channel hazionyeshi kama kuna mtu ananumber za azam namuomba ili niulize nini tatizo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom