Kwa muda sasa nimekuwa nikitumia SSP kupata taarifa za salary. Ila hapa katikati kama miaka mi2 nikawa sijaingia hivyo nimesahau password. Nikiingia forget password sipati email ya kureset. Namba...
Mimi sitakaa nikasahau enzi zile za mabundi night ya Voda ambapo sh.200 ulikuwa unagonga unlimited internet kuanzia saa nne usiku hadi asubuhi. Tulienjoy sana wajanja night. Na baadaye ilipanda...
Habari👋
Naomba mnisaidie Links za kupakua Series/Movie hizi kutoka Channel za Disney na Nickelodeon.
Nimejitahidi kutafuta links nimeshindwa, Tinker bell zipo tano ni muvi
Pia naombeni Links ya...
Wakuu kama mada inavyojieleza, hivi kuna app ipi au program ipi hata ya kulipia ambayo unaweza set ikawa unaitumia kuifuatilia simu yako kwa kutumia imei namba yake?
Ikawa inakupa location ya...
Wakuu habari
Nimekuwa interested kujifunza na kutengeneza Animation cartoon, zile short videos.
Ila changamoto ni kwamba sina computer wala IPad.
Naomba kuuliza, je naweza kufanya hivyo kwa...
Habari za humu wadau
tayari nilishatengeneza site kwa kutumia platform ya osclass sasa nataka nitengeze app sitaki kupata muonekano wa site kuna template moja nimeiona kwenye platform ya...
Ninahitaji kujua iwapo ninaweza kuweka memory card kwenye card reader kisha nikaichomeka kwenye tv kama tunavyofanya na flash kwa ajili ya kuangalia movie.
Nimebaini flash nyingi ni za ovyo...
Mtandao wa Instagram umeboresha mifumo yake ili watu wazima wasiweze kuwapata watumiaji waliochini ya miaka 16
Akaunti za watumiaji wadogo zitajiweka ‘private’ ili watu wazima wasiweze kuwaona...
Wakuu Habari ya nyie, nahitaji kuagiza simu aliexpress ila sio mzoefu sana, make nilipoagiza mara ya kwanza kwa ajili ya kupata uzoefu ndo nilibaki njia panda, niliagiza kitu cha dollar 1.5 tar...
Wataalamu wa technologia kuna simu inaitwa Oppo Reno 5 ninetokea kuipenda sana japo.sijawahi kutumia simu za aina ya Oppo.
Kwa muda huu natumia Samsung galaxy a50 lengo langu nataka nipate simu...
Habari za muda huu wakuu, naomba Kama bango linavyojieleza hapo juu natafuta professional IT aliyeko Dsm tuwasiliane Kuna kazi nimpatie ya kufanya malipo negotiable hakuna tatzo kulingana na...
Wakuu khabari zenu wakuu. Mko salama? Naomba kujua endapo nahitaji kufuta comment(s) hapa JF.
Mfano nimemuuzi mtu kwenye comment na hajapenda kile nilichoandika je nikifuta ile comment, itaondoka...
simu zetu zina mambo mengi sana ya siri ambayo watu wengi wanayachukulia kawaida tu ila kiuwasilia kila simu zinapo tengenezwa kuna sehemu nyeti uitwa black door (malngo wa nyuma) ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.