Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kama kichwa kinavyojieleza nisaidieni mp3 nzuri ya kisikiliza music. Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, je nitumie njia gani kuweka football livescores katika blog yangu tofauti na kutumia iframe? Msaada Pls!
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wajameni mnitoe tongotongo mwenzenu. Nimekuwa nikiona hizo alama za E, G na H kwenye simu hasa kama simu ipo kwenye intaneti. Zikionekana E na G basi lazima netweki inakuwa chenga balaa, ila...
1 Reactions
37 Replies
7K Views
Naomba wataalam mnijuzi namna ya kutuma meseji kwa program ya excel. Asante
1 Reactions
8 Replies
2K Views
TUIFAHAMU BIOS MENU NA UMUHIMU WAKE KWA SOFTWARE REPAIR (PART 1 EP01) Habari Wanandugu. Ni Ijumaa ya kwanza leo ya...
36 Reactions
117 Replies
18K Views
Wakuu habari, naombeni msaada kwa anayeijua simu aina ya Huaei mate 33. Nilinunua kwa mtu ,wakati nainunua yeye alikua anaitumia na alikua anatumia laini ya malawi. Sasa nikiweka line zetu hizi...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Natokaje hapa wana teknolojia? Simu inakuwa Pending muda wote nikiwa nafanya installation
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MAKALA: MJASILIA MALI KUWA MILIONEA NA YOUTUBE youtube ni nini? YouTube ni tovuti ya kushirikisha video ambazo watumiaji wanaweza kuzinakili na kuzigawa kwa wengine. Wafanyakazi watatu wa zamani...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naweza kuunganisha application ya JamiiForums kwenye PC?( Computer) Nisaidieni
1 Reactions
0 Replies
385 Views
Habari zenu wakuu na poleni na majukumu, Leo ningependa tujue umuhimu wa I RESCUE BAG Kwa Fundi Computer Na Simu, Vitu Hivi Ni Muhimu Sana Kwa Fundi Yoyote Anayetaka Kutoa Huduma Express, Delivery...
5 Reactions
7 Replies
2K Views
Hbr Wana jamvi! Natamani Sana kujua kufunga madishi nimejaribu kutafuta wapi wanafundisha hii kozi kwa dar lakini bado sijapata, kwahiyo naomba anaejua wanapofundisha anielekeze au Kama Kuna...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Hosting (kwa kiswahili) ni mfano wa flash! Kwenye mtandao ni sehemu ya ambayo data zako zote huhifadhiwa,kama images,videos, files nk. Ni kama flash yako inavyohifadhi vitu ,na flash huwa na...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Katika makala hii tutaona jinsi ya kufollow (kufuata) watu, kurasa au makundi uliyounfollow kwa pamoja bila ya kutembelea kurasa ya kundi moja moja na kuanza kulifuata. Kuna muda hupendi ukurasa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Poll Poll
LEO Nitawaletea namna ya kuhack GOOGLE PLAYSTORE alafu kudownload apps za kulipia bure kabisa NOTE:AM NOT RESPONSIBLE FOR ANYTHING HAPPEN TO YOUR PHONE OR YOURSELF I SHARED JUST FOR FUN VITU...
0 Reactions
23 Replies
13K Views
Asalam wakuu natumaini wazima. Kuna simu Samsung s6 inazingua accessibility ya internet kila nikijaribu ku surf inanambia unblock Samsung internet first hata nikitumia wi fi mziki ni...
0 Reactions
5 Replies
889 Views
AIRPLANE MODE Ni mfumo uliopo katika simu zetu janja(Smartphone)laptop na iPad. Aiplane mode huwakilishwa na alama ya ndege inayopaa, mfumo huu unapokuwa umewashwa kwenye kifaa chako Cha...
4 Reactions
1 Replies
3K Views
Wataalamu nahitaji msaaada nahitaji kutunza report za research kwenye database naombeni muongozo.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
habari zenu wana jf naomba ushauri kutoka kwa wazoefu wa online marketing hasa kupitia kikuu maana kuna mzigo nataka kuagiza ila sina uhakika na ubora wa bidhaa zao na ukweli kuhusu features...
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Hello, Nawezaje kuhamisha mafaili kutoka kwenye simu yangu ya iphone kuingia kwenye computer. Nawasilisha
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba muongozo juu ya makato pale unapofanya manunuzi Aliexpress
0 Reactions
1 Replies
609 Views
Back
Top Bottom