Wataalam wa tech,
Nimekuja ninahitaji kufahamu kidogo.
Juzi kati kimenitokea kitu ila kimenishangaza kuna mtu amenipigia simu namba naifahamu vizuri tu maana ilikuwapo kwenye phonebook yangu...
Ndugu nisaidieni hili maana Apps nying znakuja na matangazo yani yananiboa kinoma tena utakuta nyngne zmefunikwa kabsa.
dowoad app inaitwa "adclear" itafute google haiko playstore. hii app ikiwa...
Msaada nikiwasha computer aina ya HP inaleta hii error message halafu inawaka ila baada ya muda ina stuck huwezi kufanya chochote.
Ukiforce kuzima kwa ku unplug then plug Power inaunguruma feni...
Processor katika simu ni kifaa ambacho huchukua maelezo kutoka kwenye software na kufanya kazi za kimahesabu na kimantiki pamoja na kutoa na kuingiza vitu ili simu yako ifanye kazi kwa ufanisi...
Simu yangu ni Tecno K9.
Nataka kufanya back up ya contacts zangu kwenye google akaunti yangu. Nisaidie nafanyaje. Nimesoma google hainipi ninachokitaka.
Please assist.
Rasmi: Instagram imeanzisha "Live Rooms" sasa unaweza kwenda live na watatu. Kupitia live rooms utaweza kuendesha tukio mubashara huku ukiongeza watu zaidi, jumla ya watu wanne wataweza kuonekana...
Habari wa jamvi, nahitaji msaa wenu hata ushauri tu unatosha,
Nina sabufa aina ya Sunder ilikata sauti gafra baada ya dogo kufungulia volume kubwa, sasa ikawa haitoi sauti kuanzia kwenye besi na...
Wakuu habari zenu? Kuna simu tajwa hapo juu imezima ghafla haichaji na Wala haitambuliki na computer (windows7,windows10),Je shida n nn?
Natanguliza shukrani
Hivi unaweza kutumia playstore kwenye PC kama kwenye android? Na je kama ndiyo unawezaje kuinstall hiyo playstore.
mim nilijaribu kutumia blueStacks lakini sielewielewi naona kwenye kusign in...
Wadau naombeni link ya og insta kwa wenye kuifahamu ambayo iko kwenye sasisho jipya (update) maana kila ninayopakua haifungui video, msaada.
Sent from my TECNO K7 using Gazeti Lite
KWA YOYOTE MWANA JAMII FORUM AMBAE ANAWEZA NISAIDIE ILE AUDIO UPIGWA(BACKGROUND AUDIO) VIONGOZI WA KITAIFA WAKIAPISHWA NAOMBA ANITUMIE DM AU ANAYEWEZA KUKATA KUTOKA KWENYE VIAPO (KUI CROP)...
Salaam
Kifaa tajwa hapo juu nimetafuta sikipati na wengine wananiambia niagize.
Ninachotafuta ni video sender ya kuchomeka kwenye video camera na kwenye laptop au tv kwa kutumia Mini Hdmi kwenye...
Wataalam wa IT kama mnavyojua instagram kwa sasa imevamiwa na mahackers ambao wamekuwa wakiiba account za instagram mara kwa mara,nawakaribisha wataalam watufundishe mbinu za kulinda account zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.