Toyota Kluger V
Baadhi ya maswali yaliyoulizwa na Wadau
Wapendwa naomba mwenye ufahamu wa hili Gari anisaidie kulijua.
Ulaji wa Mafuta
Uimara wake.
Friendship na Mwendeshaji.
Spare.
---
Msaada...
Wakuu merry Christmas [emoji319]
Dstv kwa sasa channel za kibongo kuna wasafi tv, tbc na maisha magic bongo, hzo ndo zinatuwakilisha vzr dstv. Zingine zilizobaki zinafeli wapi?? Au ndo zmeingia...
Habari zenu wanajamvi,
moja kwa moja niende kwenye title ya mada
nimekuwa nikisikia hii kitu ya kuhard reset simu ila sijawahi pata ufumbuzi kamili
naomba kwa anayefahamu vizuri hii kitu...
Ni software gani ambayo ni easy kufanya hard subtitling, yani ninamaanisha kufanya srt, au ass file kuwa completely merged na mp4 video. Nimekuwa nikitumia MKVnxtool lakini inachokifanya ina work...
Hongera Chama chetu pendwa CHADEMA kwa kushinda tuzo za Tanzania Digital Awards, Category ya 'Best Political Party Use of Social Media'
Pongezi nyinyi kwa team nzima ya CHADEMA Media kwa kazi...
Wakuu Nawasalimu,
Hiii teknolojia ya encyption huwa inanipa maswali mengi san. Kuna teknolojia mabalimbali kama MD5 na SHA-256 ambazo unaweza kutengeneza keys mbili.
Moja ni private key ambayo...
Unapoingia kwenye mtandao, kompyuta yako mara moja itapewa cookie. Cookies ni faili za maandishi zinazoitambulisha kompyuta yako kwa mtambo wetu wa mtandao unaohifahdi kumbukumbu zote (server)...
Natumia simu ya Tecno phantom six plus ilia anguka ikapata mushkeli kidogo nikapeleka kwa fundi ikasetiwa fresh sasa kumbe kidude cha kuchomekea phone kimezngua nimefika home ndio nimejua iyo...
Release Process
Preparing for the Signature File
Configuring the Signature Information
Building Your App
Releasing Your App to HUAWEI AppGallery
Releasing Your App
Release Process
To release your...
Wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza, nina rafiki yangu mchina ameulizia hiyo bidhaa kama inaweza kupatikana nchini. Baada ya ku google nimeona ni kitu kinacho husiana na udongo/ madini, kwa wale...
Jamaa yangu amepokea ujumbe wa sms toka airtel ukisema sim card yako inataka kufanyiwa swap. Kama hujaomba huduma hiyo piga no 100.
Baada ya kama dk 5 line ikawa haisomi tena. Kufanya swap...
Nilikuwa nina app ya fb kama wiki iloyopita nikaifuta kwa simu yangu sasa hivi ndio ninataka kuirudisha kila nikidownload wakati wa ku install inazingua tatizo lipo wapi hadi messenger na yenyewe...
Habari!
Nina mobile wifi ya Tigo kwa miezi 6 sasa kasi ya intaneti haijakidhi mahitaji(stationary ndogo desktop 5,smart tv 1 & simu janja 4) kuna huduma ya SUPA KASI kutoka Vodacom link:-...
Wakuu naombani msaada wenu
Usiku wa kuamkia leo nimeibiwa room kwangu Sim mbili, laptop na wallet ikiwa na kitambulisho cha Chuo kikuu cha Dodoma, kadi ya Bima ya Afya na hela ndani ya wallet...
When you have connected to a Wifi network and so on and sometimes forget the password you entered to connect to that Wifi. Here's how to review it
There are many cases when you are connected to a...
Leo asubuhi nikaona ni play nyimbo za Xmass kwenye simu yangu Kufungua Google play Music nikakutana na ujumbe “......is no longer available” Na kunitaka nihamie Youtube Music
Nimeidownload hapa...
Uzi huu ni maalumu kwa kujifunza programming language but kwa kuanzia na C Language. Why C Language.
large operation system written on c
even mostly compiler are written in c
its basic foundation...
Habari wanajukwaa,
Natumia TV aina ya TCL na wakati nanunua nilisikia wakisema kuwa unaweza kuweka antena na ukapata free chennels sasa leo nikasema nijaribu nikajarib kuseach nikapata kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.