Habari wana jamii forum nima simu sumsung s8 ndo nimeanza kuitumia sasa nashangaa kila nikiwasha data kuna application zinakuja nidowload maana inaandika download app afu inakuja na makelele ajabu...
Habari zenu wakuu.
Naomba msaada wenu wakuu ..
Hivi ni njia gani ambayo ni rahisi kupokea google adsense payments kwa hapa nchini kwetu Tanzania. Au ni njia zipi zinatumika kupokea malipo kutoka...
Habarini ndugu. Jumamosi ya tar 06.07.2019 niliangusha simu yangu na ikaokotwa na mwanafunzi wa shule ya sekondari fulani, kijana alitu pa simu cards zote akaenda kuuza kwa mtu ambaye mie...
Ingia google search kwenye browser yoyote! Andika namba ifuatayo,241543903 ukimaliza bofya Search! Kwa urahisi zaidi, chagua sehemu ya images! Kuna kitu very interesting ambacho hukuwa unakijua...
Naomba ushauri nifanyeje, laptop yangu(Dell) nikiwa nimeishika naitumia ikakurupuka mkononi na waya wa power ukachomoka ikazima. Wakati naiwasha inaleta option ya ku repair window maana ukiwasha...
Hii kwa M-Pesa MasterCard Nitaiita LoopHole
Kama mnavyojua kampuni ya Vodacom wametuletea huduma nzuri ya kutuwezesha kufanya manunuzi mtandaoni kupitia huduma yao ya M-Pesa Virtual Card ambayo...
Nimehangaika sana na hii ishu kwa leo,
kuna website ya vichekesho inaitwa ackyshar.com
shida yangu ninachotaka ni scrape i links za directoriy ya vichekesho
vichelesho vipo kwenye directory hii...
Habari wakuu poleni na majukumu ya kila leo.
App developers mimi sijui coding ila sio kwamba ni mweupe kabisa😃. No kidogo some basics zipo.
Nipo hapa kutafuta developer tutakayeweza kupiga nae...
Salaam, kama una movie mbalimbali na pc games na upo dar es salaam naomba tuwasiliane ili tuweze kubadilishana, ninazo movie nyingi na pc game nyingi hivyo nataka zile ambazo sina.
Kama unazo...
Wakuu poleni kwa majukumubya kuijenga Nchi yetu changa,naomba kujuzwa aina gani ya Apps nzuri ya kuchunguza kinachoendelea katika simu ya kijana wangu,mahitaji yake ya Chuo siku hizi yameongezeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.