Wakuu hapa BongoLand naona hazijafika ila ninaziona Mtandaoni kama Ebay, Na kwingineko vipi Ubora wake?
Japo nimeona hizi Laptop ni very Expensive sana nilivyocheki Mitandaoni sidhani kama kuna...
Habari wanandugu ikiwa imepita takriban miezi mitatu toka kampuni ya Samsung kuzindua simu zake za S10, S10 plus na S10 5G ikiwa na vitu vipya pamoja na technologia ya hali ya juu.
Kwangu mimi ni...
Habari Wadau wa humu ndani mie Sina mda mrefu humu kama member ila nimekua mfuatiliaji wa Mambo humu kwa muda mrefu.
Nimekuja hapa Naomba msaada juu ya Mambo mawili Kuhusu ms Excel
1...
Habari zenu wakuu.
Naombeni msaada.
Nipo na simu hapa nahitaji kuiflash stock rom (stock firmware) bila box.
Aina ya simu in Nokia N7 plus,lakini nilivoichunguza inaonekana ni fake..sio Nokia...
Katika vitu ambavyo vimechangia kupendwa kwa simu za Samsung hasa na wabongo ni jinsi ambavyo ulikua unaweza kubadili fonts mbalimbali.
Hizo ni moja wapo ya font za Dusha ambazo ni maalum kwa...
Wakuu nadhani uzi kama huu upo humu ila nmejaribu kuutafuta sijafanikiwa kuupata bt kama nlvotangulia kuutanabaisha hapo juu nahtaj msaada wenu nawezaj kuondoka kabsa haya matangazo maana kila...
naitaji kujua ni kwa jinsi gana unaweza download kwa kutumia iphone kama unavyofanya kwenye android ya kuweka torrent mfano, lakini pia kama umedown load video kwenye app ya ucbrowser unawezaje...
habari Za Leo
Mimi Ni mtumiaji mzuri WA whatsapp
Napenda kusaidiwa kujua whatsapp ambayo ina ubora zaidi Ni toleo lipi ambalo liko vizuri
Hasa Nilikuwa nahitaji Ile YA option YA kuweka alama...
OKAY hey guys ......thefreedom hapa
leo nimeweka uzi huu kama kawaida yangu nikutoa tu angalizo hasa kwa wale watanzania wezangu ambao bado hawana elimu ya uelewa wa issue nzima ya hacking.
wote...
wakuu nahitaji njia za kupitia kujifunza namna ya kutengeneza banners brochures na posters mana ofisin kwangu kuna printers na mwenyew namiliki laptop pia kuna desktop za ofisin sasa huwa napenda...
Wakuu naomba mnisaidie kwenye ili
Nina sim tecno W3LITE 4G netwok mode...mara kwa mara app kama twetter na facebook imekua inagoma kufanya kazi kwa sababu ya netwok....yan kwa mfano nikiingia jf...
2583680769
Kama kichwa kisemavyo kama unafahamu namba hii ni ya nchi gani naomba msaada wako, aliyenipa alisahau kunipa country code ntashukuru sana nikipata msaada wenu.
Habari za usiku wadau wangu? Nina shida moja nimeileta hapa jukwaani.King'amuzi change Cha antena Cha kampuni ya startimes hakitoi sauti na nimejaribu settings zote zimegoma na ishu Ni kwamba...
KUHUSU PURPOTEDLY "VIDEO CHAFU" YA GWAJIMA
Kuna video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ambayo watu wanasema ni ya Gwajima. Nilikuwa ofisini leo, rafiki yangu akaja na kusema, "Umeona Gwajima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.