A graded series/ Land Of Easterners
ROTATION
Earth has been destroyed by war and no one lives on it anymore. The robots and the machines continue to function and serve human beings who have long...
Wanajamvi natumaini mpo vizuri!
Niende moja kwa moja kwenye mada wadau, ipo wazi kwamba Samsung imekuwa ikifanya fizuri kwenye soko la simu za mikononi tangu robo ya kwanza mwaka 2012 ilipochukua...
Naomba msaada kulingana na kichwa cha habari!
Natumia win 8.1, mwanzoni apps zote zilikuwa zinafunguka (kufanya kazi kama kawaida). Lakini kwa sasa kuna bahadhi ya apps hazifunguk.
Je, tatizo...
Wakuu habari za mda huu, toka Jana nimekumbwa na hili tatizo yaani kila nikijaribu kuchukua screen shots kwenye simu yangu, nashindwa tatizo laweza kuwa nini?.
Mfano data zipo ivi
Data zimejichanganya kwa majina kujirudia
Juma 1
Aisha 2
Tom 1
Juma 3
Tom 2
Tom 1
Aisha 1
Njia gani natumia ili data zikae ivi
Juma 4
Aisha 3
Tom 4
Note: nataka ni njia...
Tafadhali naomba Apk ya Gbwhatsapp kwa ajili ya iphone, nimejaribu niliyokuwa nayo kwenye techn imegoma, naomba mwenye hii kitu kwa ajili ya Iphone anisaidie, nimejaribu kudownload bila mafanikio...
Kuna wale wazee wanapenda kutunga habari na kuisambaza kwenye magroup ya whatsapp na kudai imeiandikwa na tasisi flani au ni nukuu ya mtu flani, sasa mwisho wao umefika vinginevyo wataishia jela...
katika pitapita zangu nikashangaa kusikia iphone 5s inapata toleo jipya la ios 12 je kuna ukweli au uongo simu ya mwaka 2013 mpaka leo inapata updates kweli ?
iOS 12 will continue supporting...
Nna simu yangu TECNO K8,haijatumika muda mrefu kama mlezi miwili...ilikua off na betri ilizima kwa muda wote huo..
Leo imechajiwa na imewashwa na imewaka lakini imebaki kwenye logo ya tecno kwa...
Habari. Wana JF naomben
Naomben munielekeze jinsi ya kutoa pesa kutoka Google AdSense maana nimeona Kuna ki pick. Payment kwenye Western Union ilio kalibu na eneo nilipo ndan ya sku 60...
Wakuu nisaidieni kuhusu hili
Natafuta maduka yanayouza PCB za kutengenezea circuit za amplifier yanapatikana wapi sana sana kwa singida wakuu nisaidieni asante
Habari wadau,kumekuwepo malalamiko kuhusu signal kua hafifu kwenye visimbuzi hivi vyenye mfumo wa KU band sasa dawa tufanyaje ili kuepuka changamoto hii?
Kwa tuliobahatika kupanda ndege, natumai tutakuwa tumeona haya:
1.Wakati wa kupaa kwa ndege, huwa kunakuwa na hali fulani kama vile moyo unacheza au unapasuka.
2. Kwa wale waliopanda ndege...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.