Mwanzilishi wa kampuni ya kutengeneza antivirus ya mc cafe bwana john macafe amesema amefanikiwa kumfahamu bwana santoshi nakamoto ambae anaaminika kuwa ndiye mwanzilishi wa cryptocurrency ya...
kichwa cha habari cha husika....kama unauwezo wa ku locate ku trace simu kwa kutumia imei ama kujua simu inatumiwa na nani kwa sasa tafadhali cheki pm tuyajenge
asante
Habari wakuu naomba mnisaidie namna ya kudivert call na sms kwenye simu ya mtu mwingne ili simu na sms zake ziwe zinaingia moja kwa moja kwangu kuna mtu amenambia nikipiga **21*no yangu kwenye cm...
Wakuu habari zenu. Naomba niende kwenye lengo mahususi bila kupoteza muda.
Ninapata changamoto kwenye simu yangu tangu niiwekee memory card majuzi juzi baada ya storage yake mama kuzidiwa...
Wadau msaada tafadhali.Napenda kujua nikitaka kuanzisha kufundisha ufundi Simu upande wa software kuna taratibu gani za kuzifuata ili kusaidia na wengine pia katika ujuzi huu?.
Naombeni ushauri maguru wa gadgets, ninafikiria kununua ipad pro, nataka device ya pili mbali na laptop yangu. Swali linakuja, is it worth it? na kama nikinunua, nichukue ipi kati ya WIFI only au...
Wadau msaada tafadhali.Napenda kujua nikitaka kuanzisha kufundisha ufundi Simu upande wa software kuna taratibu gani za kuzifuata ili kusaidia na wengine pia katika ujuzi huu?.
Kwa kawaida cds setting zinakuepo pale kwenye connectivity lkn nafungua hapa sioni msaada tafadhali kwa anayejua pa kuzipata
Sent using Jamii Forums mobile app
BBM ni mtandao maarufu wa kijamii wa kwanza ulioanzinishwa mwaka 2005 kabla ya mitandao maarufu ya kwanza kama vile Watsapp ,facebook,instagram na mingineyo kuundwa.
Blackberry Messenger maarufu...
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha Jerry Muro amesema mtuhumiwa yoyote atakayetajwa kuhusika na kumpa mimba mwanafunzi (mtoto) katika wilaya hiyo hatapewa dhamana na badala yake atakaa...
Wakuu nahitaji mtaalam wa IT , kuna kazi hapa ya online business
Sifa zake....
1.awe na laptop yake
2.awe mtanzania wa mkoa wowote
3.asiwe na kazi nyingne na
4.umri kuanzia miaka 20 hadi 28...
Wadau naombeni msaada kwa mtu anayejua kurudish acc ya insta coz ilijilog out yenyewe wakidai kwamba nmepost vitu ambavyo sio so wamei disable.kuna screenshot nmeeka below. T. I. A
Updated...
Habari wakuu
Ebana nimeshusha hiyo game hapo na inafanya kazi kama kawaida, ila sasa nataka kuweka mods za Buses ndio mtihani unakuja hapo.
Kuna video nimecheki jamaa anasema nikishazishusha hizo...
Niaje wadau kama kawa...
Ninazo tp link mr 3420 blue 2019 NEW GUI modern router + umiversal modem nauza (NEW)
FEATURES
1. Inatumia modem ku connect kwa network 3g and 4g
2. Ina both 3g and 4g...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.