Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
kwema wakuu..kati ya hiyo mitandao mitatu hapo juu..ni upi speed yake ya 4G ina power zaid?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari waungwana wa jf nina simu yangu samsung s7 tangu jumapili imeanza matatizo ya kuwaka na kuzima kuzima na kuwaka ata apa kabla sijaanzisha huu uzi imezima na kuwaka wakuu samahan nisaidieni...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mara nyingi mvua ikinyesha DSTV matangazo yanakatika. Kwa mwezi huu wa nne na masika hizi si ajabu mvua ikanyesha wiki nzima au mara tano kwa wiki na hapo hutaona matangazo ya DSTV. Je hapo si...
19 Reactions
203 Replies
28K Views
Wakuu, Anahitajika mtaalam wa maswala ya computer hasa networking. 1) Awe na uwezo mkubwa kwenye mambo ya system security kwenye networking. 2) Awe na uwezo wa ku hack/ ku identify potential...
0 Reactions
1 Replies
682 Views
Naweza pata wapi pia nmna ya kuprint T-shirt, na kuprint business card
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini za jioni kwenye account zetu za adsense na admob tumeandikiwa hivi. “Your payout amount is more than your chosen form of payment can accept in your country. To continue getting paid...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau Magenerali wa JF nisaidieni naweza kupata wapi hio Taa nipo DSM!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari, Naomba kujuzwa application nzuri inayoweza kuzuia sms na calls za mtu uliyemkusudia. Kama inapatikana kwenye play store itakua vizuri zaidi. Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
TAYARI ISHAUZIKA
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu kama ujumbe unavyosomeka naomba mwenye utaalamu anisaidia kwani kuna vitu vya muhimu sana sivioni!asanteni!
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani naomba msaada w ku unlock simnetwork ya Samsung galaxy J7 model SM-G700M. Maana imelock ghafla. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
524 Views
Msaada tutani, Napenda kazi ya kupiga picha. Je, ni vifaa gani muhimu natakiwa kuwa navyo kwa kuanza? Je, nitumie camera aina gani yenye specification zipi ili niweze pata picha nzuri...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
NAOMBA MSAADA KUJUA GOOGLE ADSENSE PIN HUWA WANATUMA HAPA TZ INACHUKUA MUDA GANI KUFIKA NA NJIA GANI WANATUMIA DHL,POSTA ,CDS AU
0 Reactions
2 Replies
727 Views
Mwenye nayo AMBAYO tayari imekubali Monetization au channel imekuwa approved na google adnsense aje tukubaliane aniuzie. thanks
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari..Ram ya Dell latitude d800 Inahitajika Kama unayo eka picha Na Bei ake
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau naomba kusaidiwa namna ya ku-download bure vitabu mtandaoni. Pia kwa mwenye website ya vitabu vya sheria, historia, riwaya na siasa anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Ni website gani ninayoweza kuingia nakusoma vitabu vya science (soft copy) bure?
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari wanajanvi,napenda sana gari hizi mbili,ila naomba kujua uimara na confotability yake unapokua barabarani pamoja na fujo za apa na pale,napenda mbio sana ila naomba nianzie na hiki,moja ya...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
dowload zikifika 99% zinagoma inabidi nianze tena upya jinsi gani ya kufix ili iressume
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nakaribisha tatizo lolote linalotoka kwenye android studio na namna ya kuedit codes za android kwa kutumia software hii,karibu hapa tushare pamoja. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom