Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu nahitaji kutengeneza PC yangu ya toshiba screen imepasuka ndani afu pia kutengeneza charging system yake maana ikiwa on PC haipitishi chaji hadi iwe off. Naomba mwenye uwezo anitafute...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani naombeni msaada nimeweka flash kwenye PC ila mafaili hayaonekani
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Wanajamvini habari, Hivi karibuni vodacom wamekua wakituma hilo tangazo lao kwa wateja wao had mara nne kwa siku, na linaudh kwa kiasi maana unaweza kuwa umetulia gafla sms inaingia kuangalia ni...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
habar wakuu naomba mnipe maujanja ya kuwa developer pia ni kiac gani kinagharim kusomea??
0 Reactions
0 Replies
487 Views
Tubadilishane iphone 5s kwa 6 nakupa na ela kidogo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama heading inavyojieleza, nimedownload application ya tigopesa kwenye playstore. Sasa mashaka yangu, je iko poa au ni majanga?
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Unaweza kufanya pc yako inayo tumia window os kama vile window 7,8 na 10 kuwa na mwinekano mzuri wa Pc aina ya Apple... Chakufanya nikudownload na kuinstall kitu kinacho itwa Yosemite skinpack...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Katika taaluma ya Film and Video Production, siku hizi wengi wetu tunajua ku-oparate camera, ku-shoot na kufanya editing. Lakini changamoto kubwa ipo katika Motion Graphics and Compositing. Sio...
5 Reactions
96 Replies
17K Views
Nina imani wote mu wazima! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ningependa kujua bei ya CPU blower (mashine ya kufuta vumbi kwenye PC) hasa kwa maeneo ya Arusha na Moshi. Pili ningependa kupata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu naitaji Database au Program ambayo inaweza kukidhi maitaji yote ya hospital, kuanzia mapokezi hadi pharmacy kwa yeyote ambae anajua kufanya hiyo mambo ani inbox
0 Reactions
0 Replies
568 Views
wakuu naitaji database au program ambayo itaweza kukudhi maitaji ya Hosp... Mambo yote ya usajili wa wagonjwa... Mtu ambae anaweza kufanya hiyo kitu ani anibox
0 Reactions
0 Replies
372 Views
FAT32, NTFS, exFAT are three different files systems used to store data in a storage device. Created by Microsoft, they have their pros and cons which you might want to know and will allow you to...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Juzi kati nimepokea hela toka ebay, walinirefund some money kama 35$, nikahakikisha kabisa, ila nimeenda bank kuangalia kama imeingia kwenye account yangu wanasema HQ hawajui kinachoendelea na...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
Program Zipi Ni Nzuri na zna effect zakutosha kuedit picha msaada plz
0 Reactions
2 Replies
587 Views
wakuu nisaidieni nina memory ya gb 8 ila tatzo imeharibika inaniandika MEMORY IS BLANK najaribu kuERASE lakini inagoma haisomi hata kwenye simu kwamba ipo nifanyeje ama.nitumie app gani????
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu naombeni msaada katika hili. TCRA wanaweza ifungia website yoyote ya nje au ya ndani isionekane na wananchi? Yani namaanisha kwa mfano serikali inaweza ifungia mtaandao wa wikileaks au bbc...
0 Reactions
4 Replies
732 Views
Kila nikijaribu kupiga window 8 nifika katika kipengele cha press any key to from boot cd/dvd inaleta ujumbe huu! Na nikipiga window 7 inakubali na sasa hivi natumia window 7 je tatizo nini na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
natumia galaxy note 1 ambayo ni ya kikorea shv-e160 k 4.1.3 version nilikua na shida kuipeleka lollipop ila njia nnayoijua mimi ni kupitia odin leo nimedownload firmware 800mb ila kabla sjaanza...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Igweeee, wana JF simu yangu Tecno F6 inasumbua kwenye Play store kila napotaka kuupdate Apps ujumbe unaoukuja ni Unfortunaterly,Google Play has stopped. Tatizo lilianza niliporemove caches kwenye...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom