Hodi Hodi wanaJF
Wote wazima wa afya
Mchango yenu imekuwa ya Tija kwa taifa la Tanzania kwa sisi tuesomayo tukiwa guest
na sasa najiunga rasmi
Mungu ibariki Afrika
Wabariki viongozi wake...
Jamani naomba mnisaie kwa hili, nilipewa kiwanja na ofisi ya ardhi baada ya mmiliki wa kwanza kunyang'anywa sasa baadae ofisi hiyo hiyo inataka kuninyang'anya kwa kisingizio kuwa haijawahi...
Kwamda mrefu nimekuwa mshiriki katika jukwa hili kama mpita njia lakini sasa nimeamua kuingia rasmi katika ulingo huu kama mjumbe katika uwanja huu wa magreat thinkers niweze kuchangia na kutoa...
Hodi jamani.....
Nimekuwa nikifuatilia mijadala na mada mbalimbali kwa muda mrefu sasa. Nikaona na mimi nikae kabisa jamvini ili kuendelea kujifunza zaidi na kuchangia pale ninapoweza!
Thanx all...
Nimatumaini yangu kwamba jf hakuna wababaishaji kama fb coz mnajiita great thinkers.kwa kipindi hichi ninachongoja matokea nina imani kuwa mtaona ni namna gani kichwa changu kimefanya kazi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.