Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Kwa maproducer wa bongo sizani Kama sikumoja wataweza kufanya angalau kitu Kama hii
0 Reactions
7 Replies
996 Views
Kwa hizi takwimu TFF Watueleze inamaanisha uwezo wa uwanja wa Mkapa ni mkubwa kuliko Estadio Camp Nou F.C. Barcelona ambayo inabeba mashabiki 99,354 au Rungrado May Day Stadium wa huko Korea ya...
1 Reactions
12 Replies
946 Views
Nyanja: Mahusiano (Siyo tukio halisi) Wateja wa mgahawa mmoja wa chakula unaoitwa Kowak 4 Star Motel ulioko Ingri-Juu Wilayani Rorya wamefikishwa kituo cha Polisi baada ya kupigana vibaya sana...
1 Reactions
0 Replies
516 Views
Habari wanajamvi, nimewaletea mada hii kuhusu baadhi ya movie za ulaya na asia. Kuna hii movie inaitwa soz, nijikite wakati wale wapelelezi wawili wanamfatilia profesa. Walibain kuna mtu...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
MAJUTO NI MJUKUU Dada zangu kuna kitu cha kujifunza hapa Niliolewa na mwanaume mpole sanaaaaaa miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifatilia hata siku moja, hakuniuliza...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Nitashambuliwa ila ukweli na uongo havipikiki chungu kimoja,leo Simba Day imepoa sana ndugu zangu,nnaweza kutafsiriwa vibaya ila Ona hali ilivyokua saa 2:00 Asbh siku ya Wananchi na hali ilivyo...
2 Reactions
9 Replies
987 Views
Kwetu sisi wafuatiliaji wa tamthilia hii maarufu sana, naamini toka Enzi hizo ikianza wengi tumekua tukiingia na kutoka lakini mwisho wa siku bado tunapata ule utamu wake. Basi tutumieni hili...
33 Reactions
9K Replies
751K Views
Shairi: Tumejaliwa sana sisi Tanzania,Ngao yetu umoja tumeshikilia, heri tujiulize nyi watazania, vipi malengo yetu tumezingatia. Kiitikio: Mawazo ya Mwalimu yameshatimia, kudumisha umoja ndiyo...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari zenu wananjamvi. Mwenye hadithi za kitabu Cha HEKAYA ZA ABUNUWASI naomba atuwekee hapa.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Niko tu mi baby Kama maji kwa mtungi Nyonga buli baby Nivute niiishi nibaki kishungi Aii zuri baby Nibandike nigande ka gundi Maakuli nilishe nishibe Kitumbo ndindi Unanikoleza, unanichombeza...
7 Reactions
66 Replies
4K Views
Rapa kutoka Mexico, Dan Sur @dansurig amefanyiwa upasuaji na kuondolewa nywele zake kichwani na kuwekewe cheni za dhahabu. Dan Sur anasema alitaka kufanya kitu tofauti, kuwa binadamu wa kwanza...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wakuu Mimi ni mshabiki sana wa games hasa hasa mobile games sababu muda mwingi napata free nikiwa kazini kuliko nikiwa kwangu Nilikua najaribu kutafuta mashabiki wenzangu kama wapo...
1 Reactions
4 Replies
840 Views
Habari za mchana WanaJF filamu pendwa imeshaachiwa Unaweza Sogea Netnaija.movie kwa Uchumi huu wa tozo Netnaija.movie Mkombozi wetu [emoji39] Kama Uliangalia Dont Breath part 1 ya mwaka 2016 basi...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Kuanzia wiki ijayo Wasafi Media wanatarajia kuanzisha kipindi kipya cha asubuhi kitakachoruka kuanzia saa 11 asubuhi asubuhi mpaka saa 1 na nusu asubuhi, hii ni katika kuboresha na kuzidi kuijenga...
4 Reactions
42 Replies
11K Views
Msimu mpya wa onyesho kubwa na la ukweli barani Afrika, Big Brother Naija, unaanza kuonyeshwa leo Jumamosi na Jumapili na waandaaji wakiahidi onyesho kuwa kubwa na bora zaidi kuliko hapo awali...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
ALADDIN NA TAA YA AJABU --- SEHEMU YA KWANZA (1) ALADDIN NA TAA YA AJABU Hapo zamani kabisa, aliishi mshonaji masikini, ambaye alikuwa na mtoto wa...
7 Reactions
19 Replies
10K Views
Jana kwenye Dstv chaneli ya Maisha Magic Bongo nilishuhudia movie inayoitwa 'hornet' nafikiri inarushwa kwa ufadhili wa Marekani, actors ni Wamarekani wenyewe ila imewekewa maneno ya Kiswahili...
0 Reactions
3 Replies
947 Views
Vyombo vinavyohusika na ulinzi wa raia na mali zake chukueni jukumu ilo.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
BAKI NA MIMI Email: halfanhamis337@gmail.com Yusto alimaliza kusoma ujumbe huo kutoka kwa Brandina wenye utani ndani yake, akainua macho yake akamtazama Caren akakuta nae anamtazama. "vipi"...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
#Repost CNN @download.ins --- FinanceBuzz will pay an individual $1,300 to watch 13 scary movies in October, in an effort to find out whether the size of a movie's budget impacts its scariness...
0 Reactions
7 Replies
739 Views
Back
Top Bottom