Maendeleo hayana chama......
Mitano tena.....
Tunaisoma NAMBA......
Tanzania is green......
Tutaelewana tu acha tuoneshane Makali.....
Sasa binafsi niliangalia series ya IRIS season 1 kwa...
Kuna drama inaitwa "Memorist" ya huu mwaka 2020 Kama ulipenda Vagabond basi hii utaikubali ni drama inayohusisha akili na pia inangumi storyline yake ni nzuri na yenye mbunifu.
Habari zenu
Mzee wenu nimekaa hapa nasikiliza hawa vijana wenzangu wa enzi hizo..si mnajua tena weekend hii. Ila kiukweli nimeshindwa kung'amua kabisa kati ya hawa wakongwe wa huu muziki ni nani...
Gwala kwa wana Jf wote, matumaini yangu tuwazima wa afya. Kwawaliofikwa na matatizo mbalimbali katika maisha ninaendelea kuwakumbuka kwenye maombi. Just hold tight a little while, our God is...
katika miaka ya tisini hadi 2000 kulikuwa na majarida mbalimbali yaliyokua yakituburudisha sana.Moja ya majarida hayo yalikua kama vile,BONGO,TABASAMU na SANI.Humo ndani kulikua na watunzi wazuri...
1. Penzi pendezo la moyo, kwa uliye mkhiyari
Moyo usemapo ndiyo, na mwili huwa tayari
Kwa jumla yote hayo, ndio pendo hutabiri
ila wewe sikupendi, na wala huna kasoro
2. Nimechora kwenye jiwe...
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu tangu june ilipotakiwa itoke na kuahirishwa mara 2 hatimae kitu kimeanza kutoka rasmi. Tambua tarehe ya ufunguzi katika nchi yako ukaenjoy. Pia itapatikana katika...
Nilipokuwa primary niliusikia nikaupenda sana lakini sikufanikiwa kujua beti zake...
Unaanza hivi
Sasa tunawahesabu, sasa tunawahesabu
Waliokufa kwa tabu
Bila hata matibabu,
wengi hawana...
Wizkid__Ojuelegba🙌🙌🙌
Huu mdundo ulipikwa sana sizani kama Star Boy atakuja kupika mdundo kuuzidi huo.
Ojuelegba the best Wizkid song Ever.
Wangapi Tuliwahi kuusikiliza?
Ukweli hawa jamaa kuna kipindi walijiona wao kama Mungu kwenye burudani Tanzania lakini mahojiano aliyofanya Babu Tale juzi kwenye kipindi cha XXL wamepigwa KO japo walijifanya kutaka kuvuruga...
Habari za kwenu Wana jf?
Msaada tafadhali wa wimbo wa dini jina linaitwa "Unitume Mimi" yani Wanaume kwenye huu wimbo wanaimba kwa sauti kubwa sana harafu ina beat ni hatari,
Shida ni ninapo...
Mfalme mtarajiwa wa Miduara 'Bob Haisa' kutoka Misungwi,Mwanza anatarajia kuachia ngoma yake mpya hivi karibuni akimshirikisha Malkia wa Taarabu asilia 'Bi Shakila' kutoka Dar Es Salaam,ngoma...
Taarabu zilipendwa ujumbe mzito plus mafumbo..kubembelezwa kwa sana yani tulienjoy sana wahenga
MEGAElina
MEGAHujui alacho kuku
MEGANahodha
MEGAMapenzi yananitatiza
MEGANjiwa peleka salamu...
Nimeisikiliza nyimbo ya Huyu jamaa inaitwa TSENA na nilichoshangaa ni kwamba humo ndani kuna Maneno ambayo yanafanana na kiswahili na baada ya uchunguzi wangu mdogo nikagundua jamaa anaongea Lugha...
Wadau na wakubwa zangu heshima kwenu...
Wangapi wanaokumbuka hii product ya kimafia.filamu ya ubabe ,unyama mwanzo mwisho.
Nani anamkumbuka mbabe yule GAry hiroyuki tagawa nyamera la mayakuza...
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER
SEHEMU YA 1.
...Kwa Jina Ninaitwa KETARO Ilikuwa Ni Mwaka 2015 Nikiwa Na Umri Wa Miaka 21 Nikiwa Nimezaliwa Mwaka 1994.Nilikuwa Ninaishi Na Bibi Yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.