Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Maendeleo hayana chama...... Mitano tena..... Tunaisoma NAMBA...... Tanzania is green...... Tutaelewana tu acha tuoneshane Makali..... Sasa binafsi niliangalia series ya IRIS season 1 kwa...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuna drama inaitwa "Memorist" ya huu mwaka 2020 Kama ulipenda Vagabond basi hii utaikubali ni drama inayohusisha akili na pia inangumi storyline yake ni nzuri na yenye mbunifu.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu Mzee wenu nimekaa hapa nasikiliza hawa vijana wenzangu wa enzi hizo..si mnajua tena weekend hii. Ila kiukweli nimeshindwa kung'amua kabisa kati ya hawa wakongwe wa huu muziki ni nani...
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Gwala kwa wana Jf wote, matumaini yangu tuwazima wa afya. Kwawaliofikwa na matatizo mbalimbali katika maisha ninaendelea kuwakumbuka kwenye maombi. Just hold tight a little while, our God is...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
katika miaka ya tisini hadi 2000 kulikuwa na majarida mbalimbali yaliyokua yakituburudisha sana.Moja ya majarida hayo yalikua kama vile,BONGO,TABASAMU na SANI.Humo ndani kulikua na watunzi wazuri...
6 Reactions
92 Replies
22K Views
Hivi hawa Wafilipino waliocheza series iliyoitwa FOREVER MORE wako wapi? XANDER & AGNES WAZEE wa LA PRESA CITY Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
2K Views
1. Penzi pendezo la moyo, kwa uliye mkhiyari Moyo usemapo ndiyo, na mwili huwa tayari Kwa jumla yote hayo, ndio pendo hutabiri ila wewe sikupendi, na wala huna kasoro 2. Nimechora kwenye jiwe...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu tangu june ilipotakiwa itoke na kuahirishwa mara 2 hatimae kitu kimeanza kutoka rasmi. Tambua tarehe ya ufunguzi katika nchi yako ukaenjoy. Pia itapatikana katika...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilipokuwa primary niliusikia nikaupenda sana lakini sikufanikiwa kujua beti zake... Unaanza hivi Sasa tunawahesabu, sasa tunawahesabu Waliokufa kwa tabu Bila hata matibabu, wengi hawana...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Leo ni birthday yao. Mungu awazidishie umri wa kuishi.
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Wizkid__Ojuelegba🙌🙌🙌 Huu mdundo ulipikwa sana sizani kama Star Boy atakuja kupika mdundo kuuzidi huo. Ojuelegba the best Wizkid song Ever. Wangapi Tuliwahi kuusikiliza?
11 Reactions
39 Replies
3K Views
Ukweli hawa jamaa kuna kipindi walijiona wao kama Mungu kwenye burudani Tanzania lakini mahojiano aliyofanya Babu Tale juzi kwenye kipindi cha XXL wamepigwa KO japo walijifanya kutaka kuvuruga...
3 Reactions
24 Replies
5K Views
Habari za kwenu Wana jf? Msaada tafadhali wa wimbo wa dini jina linaitwa "Unitume Mimi" yani Wanaume kwenye huu wimbo wanaimba kwa sauti kubwa sana harafu ina beat ni hatari, Shida ni ninapo...
0 Reactions
1 Replies
814 Views
Inakuwaje Wanajamvi! Ni yule Mkuu wa Wilaya Arusha Kenan Kihongosi aliyewachapa watu wazima viboko makalioni mbele ya watu na waandishi wa habari.
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Mfalme mtarajiwa wa Miduara 'Bob Haisa' kutoka Misungwi,Mwanza anatarajia kuachia ngoma yake mpya hivi karibuni akimshirikisha Malkia wa Taarabu asilia 'Bi Shakila' kutoka Dar Es Salaam,ngoma...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Taarabu zilipendwa ujumbe mzito plus mafumbo..kubembelezwa kwa sana yani tulienjoy sana wahenga MEGAElina MEGAHujui alacho kuku MEGANahodha MEGAMapenzi yananitatiza MEGANjiwa peleka salamu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimeisikiliza nyimbo ya Huyu jamaa inaitwa TSENA na nilichoshangaa ni kwamba humo ndani kuna Maneno ambayo yanafanana na kiswahili na baada ya uchunguzi wangu mdogo nikagundua jamaa anaongea Lugha...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Anakuja kwenye Tamasha la Twende Zetu kwa Yesu linalotarajiwa kufanyika tarehe 19/12/2020, yaani Jumammosi ya wiki hii.
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau na wakubwa zangu heshima kwenu... Wangapi wanaokumbuka hii product ya kimafia.filamu ya ubabe ,unyama mwanzo mwisho. Nani anamkumbuka mbabe yule GAry hiroyuki tagawa nyamera la mayakuza...
0 Reactions
3 Replies
542 Views
SIMULIZI:MPENZI JINI. MTUNZI:LAMECK PETER SEHEMU YA 1. ...Kwa Jina Ninaitwa KETARO Ilikuwa Ni Mwaka 2015 Nikiwa Na Umri Wa Miaka 21 Nikiwa Nimezaliwa Mwaka 1994.Nilikuwa Ninaishi Na Bibi Yangu...
3 Reactions
58 Replies
23K Views
Back
Top Bottom