Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ndugu zetu na watetezi wetu tughe na tucta mpo wapi? mbna mpo kimya? wanachama wenu hatujapata mishahara yetu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
http://www.youtube.com/watch?v=bPeCpq8VkLo&feature=player_embedded New York (CNN) - Soccer players can't use their hands to touch the ball on the field. Two athletes in Iran abided by the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi majuzi waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi alikua anakagua baadhi ya shule jijini dar na baadhi ya shule hizo alizifunga kwa madaii kwamba hazikidhi viwango nyingine hazijasajiliwa na...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Tangu asubuhi nimenunua voucher ya Tigo nataka kufanya mawasiliano kila nikiingiza inaniambia "Sorry, the operation failed" Hawa jamaa wana nini na sisi watanzania? Tunaweza kuwafanya nini ili...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna muda leo US$1 ilikuwa inanunuliwa kwa 1820Tsh. Hali hii si nzuri kwa mustakabali wa taifa letu watanzania,pamoja na watanzania kupiga kelele zoooote kwa serikali lakini ndo kwanza JK anakwea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nikiwa kama mdau wa mijadala mikali inayoendelea humu JF na Tanzania kwa ujumla nimesikitishwa sana na kitendo cha baadhi yetu kutaka kuchochea vurugu humu jamvini kwa kutaka kutambua majina ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani haya maneno na mengine yajiwemo Nguvu zaidi kasi zaidi na ari zaidi.Kidumu chama cha mapinduzi.Maisha bora kwa jila mtanzania.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakazi wa Ilaka Kota katika nyumba za NHC wamefukuzwa kama mbwa na kupewa fidia ya shilingi laki tatu baada ya kuwa wapangaji katika nyumba hizo kwa zaidi ya miaka arobaini. Nyumba hizo ambazo...
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Nimekuwa nikifuatilia weledi wa OCD Mwombeji ya kuwaita wa-Tanzania wenzake kuwa ni panya nimefadhaika sana na mifumo yetu ya Ulinzi na Usalama wa raia.Kwa hicho kitendo cha kuwatukana wa-Tanzania...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Baba wa Taifa jf nyerere alitambua kwamba MARADHI UJINGA umasikini Ni maadui zetu lakini cha kushangaza mpaka sasa maadui zetu hawa wameendelea kuwa nasi hadi hivi leo ndio maana utakuta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna taarifa ambazo nimezipata toka kwa chanzo makini kuwa kuna kampuni mpya ya usafirishaji abiria ambayo ni ya Riz 1 inatarajiwa kuanza mnamo tarehe 6 november. Inasemekana kuwa kampuni hyo...
0 Reactions
123 Replies
22K Views
Nimeona ni bora ningezaliwa somalia niwe hata gaidi kuliko kuishi hapa tanzania nchi ya ufisadi, dhuluma na manyanyaso ya raia wasio na hatia.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
DR.MARINA ALOYCE NJELEKELA: MUHIMBILI’s NEW BOSS Posted: 31 Oct 2011 06:49 AM PDT This is to inform the general public that the Muhimbili National Hospital Board of Trustees has appointed...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Wingereza wanachekesha sana. Tanzania tuliwafukuza waingereza na 2kajipatia uhuru mwaka 1961. Sasa leo hii 2nasherekea miaka 50 ya uhuru na kauli ya waziri mkuu wa wingereza kwamba nchi...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakuu nimekutana na hili tamko ktk bbc website, naona JK kimya au yeye mambo poa tu muhimu kidogodogo kiingie Ghana's President John Atta Mills has rejected the UK's threat to cut aid if he...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
mwana wa gaddafi mkewe
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii imekaaje wakuu, nasi tumuombe mzee Bill aje kwetu? ...labda watasikia. Source: http://www.monitor.co.ug/ Bill Gates advises Uganda on oil cash The world's second richest man and one of its...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mwili wa marehemu mzee Laurance Nkwera Umati wa Wananchi waliofika kushuhudia tukio hilo wakiwa wamemshikilia dada wa marehemu aliyekuwa akilia huku akimlaumu marehemu kaka yake...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Naomba nikiri kuwa mimi ni mtu mmoja wapo ambae nilikuwa mwoga sana kuwekwa ndani hata katika kutea haki. Lakini baada ya kisa hiki cha Lema nimegundua kuwa nipo utumwani hali nikiaminishwa kuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
https://www.jamiiforums.com/matokeo-kidato-cha-nne-sita/145804-matokeo-ya-ualimu-may-2011-supplementary.html
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Back
Top Bottom