Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Jeshi la polisi la jiji la New York (NYPD) liko katika wakati mgumu sana wa kupambana na makundi ya wahalifu (organized crime) hususan waporaji wa mabenki, wafanya biashara ya madawa ya kulevya na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
habar zenu wanA jamii leo maeneo ya kariakoo,karume,temeke,ilala maeneo ya jiran umeme umekatika leo saa3 hasubuh kutokana na tatizo la kuungua kwa transfoma katika kituo cha sub station cha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii barabara ya Dar lindi mtwara kuna kipande cha kilomita 60 ni kibovu. Imepita sasa takribani miaka 3 toka awekwe mkandarasi wa kutengeneza hicho kipande. cha kshangaza mpaka sasa hiki kipande...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nimekuwa mtumiaji wa huduma katika tigo,voda na airtel lakini nimegundua matatizo makubwa katika kampuni ya tigo na vodacom. tigo wanachaji gharama kubwa sana kuongea toka tigo kwenda tigo achilia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanachama 25 wa CHADEMA pamoja na wakazi wa Arusha,wameshikiliwa kwenye kituo kikuu cha polisi mjini hapa,habari kutoka ndani ya jeshi la polisi zinasema kuwa wameshikiliwa kutokana na madai...
0 Reactions
0 Replies
957 Views
DAY 2 in Jail ----Stop the injustice release Lema. Ndugu Watanzania petition Release Lema hapa.
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wanandgu siku kadhaa zilizopta niliona email ya customer wetu mmoja akidai ameibiwa uk,,nikashtuka na kuhisi anaweza pata msaada kwa waliohuko uk,,bahati nzuri waalikuja watu wana zijuah izi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Guys have you noted the positive Move?
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Simba ishakula kicghapo dk ya 35 kipindi cha pili jamani uko chamanzi moro 3 simba 2 tutawajuuza zaidi rgds
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ile habari ya mgomo wa toyo na vifodi arusha umeanza hali ni mbaya wanafunzi wameshindwa kwenda shule,Polisi wanazunguka mji mzima kuzuia uwezekano wa kutokea vurugu, lakini kuna kila hali...
1 Reactions
134 Replies
12K Views
Ki ukweli nimeshangwazwa sana na hii habarihainiingi akilini mabasi yanayotoa roho za watanzania yanaachwa hebu niweke wazi Sumri na Mohamed yamesababisha ajali nyingi sn me nikiwa shahidi mdogo...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakazi wa ilala mchikichini ambao wameeamriwa kuhama ndani ya vibanfa vyao vya chumba na sebule walivyokuwa wakiishi kwa zaidi ya miaka 40 wamemtani godbless lema awe mbunge wao ili awatetee kwani...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mkuu wa Jeshi la Polisi S.A Mwema katika kile kinachoonekana kuendeleza dhana ya polisi jamii sasa ameanzisha post ya "Mkaguzi wa Polisi wa Tarafa". Jumla ya wakaguzi wasaidizi (Assistant...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wana Jf Mimi nashangaa sana tena sana kwa baadhi ya mashirika ya simu hapa Tanzania kutumia hii nafasi ya kuupigia kura mlima kilimanjaro kwa kuwalipiza wananchi kiasi cha shilingi 500 kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
hivi hawa ndugu zetu mbona wanaendekeza njaa sana wakiona mtu anaendesha chombo cha moto wanataka kumkamata cjui ni wivu unaowasumbua yani wananuka rushwa tupu utawaona wanakagua kila kitu ili...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hadi leo wafanyakazi wa umma hawajalipwa mishahara yao,je CHADEMA mko wapi ktk kero hii nchini?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
hard work will reap benefits,both materially and spiritually,and work will have profound consequences in tz.tukiacha uvivu wa kufanya kazi na kufikiri ndyo dawa pekee ya ubaguz4 wa dina na ukabiwa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jiji la mwanza hapatoshi bunduki mabomu ya machozi yametawala kutokana na vurugu zinazohusishwa na kesi ya waislam na wakristo,maduka yamefungwa mambo hayaendi hapa.wanatakaka mahakama iwakabidhi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini (TAKUKURU) asubuhi hii imemfikisha mahakani mkurugenzi mtendaji wa Shule ya sekondari ya EFATHA iliyopo mjini Iringa kwa thumb za rushwa. Wadau...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wiki kadhaa sasa kumekuwa na malalamiko kwamba, Gazeti hili limenunuliwa na Mafisadi, wakaendelea kudai kwamba Lowasa hawezi kuandikwa tena. Lakini leo asubuh limetoka na kichwa kisemacho...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom