Yeah -
- Ni familia ya ya watu sita
- Nyumba ina geti la chuma na milango yote ya nje na madirisha yamewekewa nondo
- Nyumba ina uzio wa Umeme (Electric Fence)
- Nyumba ina CCTV camera 15
-...
Mu khali gani wana jamvi?
Huku kwetu rombo hali si shwari kwani sukari imezidi kupaa bei toka 2400 hadi 3000, hali hii inatokana na police wa himo kuzuia magari yote yanayotoka moshi yaliyobeba...
WanaJF! Kwa kweli nimesikitishwa na habari ya Radio one kusema mtangazaji maarufu wa Zanzibar atazikwa leo asubuhi. Kwa kweli kifo ni hatari kwani huyu jamaa namkubaligi sana hasa kwenye michezo...
Kwa mara ya kwanza namsikia zembwela ameacha kuongea upupu na kuongea mambo ya maana
leo hii alikuwa anahhojiana na mtu mmoja kuhusu wakuu wa wilaya na mkoa ambao awafanyi kazi zao
na kuambiwa...
"CDM Lend your voice to voiceless poor, to break the fetters of demon poverty. See the poor people's smiles in prosperity. Time has come for the down that will swallow up the darknes of poverty...
LUBUMBASHI, DR Congo
WASHAMBULIAJI wawili wa Tanzania, Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wamefanikiwa kutwaa taji lao la kwanza la Ligi Kuu ya DR Congo baada ya timu ya TP Mazembe kuichapa DC...
Dr Kikwete na Yoheri K. Mseveni watakuwa wageni rasmi katika kuazimisha
miaka 50 ya chuo kikuu cha Udsm
Ukumbi utakuwa Nkurumah wanaJf wanasema kuwa Jakaya anawaogopa wanaudsm
sasa tarehe...
Leo ni leo Pale Ukumbi wa Mlimani City
RAIS wa Tanzania Mh Jkaya Mrisho Kikwete atalakiwa na Wasomi wa Chuo Kikuu cha dar es salaam
katika kuchangia ujenzi ya Student center
WanaJF...
TATIZO la vifo vya akinamama wakati wa uzazi limezidi kuwa kubwa nchini ambapo sasa kati ya 100,000, wanawake 454 hufa kila siku sawa na wanawake 7,700 kila mwaka.
Hayo yamebainishwa katika...
WATU watano wakiwemo baba mzazi na mama wa kambo wa kijana mlemavu wa ngozi, Adam Robert, wamekamatwa na Polisi wilayani Geita Mkoa wa Mwanza, kwa tuhuma za kumjeruhi
kwa kumkata mapanga na...
Nilifahamiana na huyu kijana mwaka 2004, tulipokutana pale kituo cha utamaduni cha Russia, akawa ni rafiki yangu wa karibu sana. Tulikuwa na mazoea ya kutembeleana mara kwa mara na hata pale kwao...
Tupo hapa mlimani city conference centre, kuna fund raising dinner ya udsm. si mtaalamu wa uchumi lakini naona gharama ni kubwa kuliko matarajio. kiingilio kilikuwa laki mbili, ila naona nafasi za...
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, katika hali ya kushangaza amedai hawajui Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na...
UMATI mkubwa wa wananchi wanaojitokeza kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, umemfanya Jaji Aloyce Mujulisi kuamuru isikilizwe...
This is a true story of Mother s Sacrifice during the Japan Earthquake. After the Earthquake had subsided, when the rescuers reached the ruins of a young womans house, they saw her dead body...
Habari za kusikitisha leo tar 17Oct 2011 wachina katka vipepelush vyao walivyobandika ktk maduka yao yote kariakoo na kwingineko wanasema "leo tar hatutafumgua maduka kuomboleza kifo cha mchina...
Mfanyabiashara mkubwa Reginald Mengi ameshusha tuhuma nzito kuwa Serikali ya Tz imerejeshewa fedha ilizoibiwa kwa njia ya rushwa miaka miwili iliyopita na mfanyabiashara ambaye hakuona hata haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.