Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wadau nimesikia Tanesco wako mipangoni kuongeza bei ya umeme. Kinachonisikitisha sio bei tu bali hata ratiba ya ukataji umeme haieleweki.Pili hi serikali imekua kama shule ya chekeckea mheshimiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huwa siiachi kamera yangu popote ninapo kwenda. Ni ajabu na kweli lakini mama mmoja wa kihaya huko Mbezi Jogoo ameamua kuhodhi njia mto kwa madai kuwa ni eneo lake na aliuziwa. Ni vigumu kuelewa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau wa JF niko bandarini Zanzibar. Kuna abiria wengi sana wanaotaka kwenda Pemba. Kama kawaida chombo ni kimoja tu na chenyewe ni kichakavu. Hivi ni kweli Serikali imeshindwa kubuni njia za...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamii naomba ufafanuzi. Hivi kwa nini warsha za siku hizi wanatakiwa wakuu wa mikoa au wilaya kuzifungua au kuzifunga na wakifanya hivyo wanapewa bahasha za honoraria zenye viwango tofauti...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Huku Matukio ya matumizi ya ovyo ovyo ya silaha yakishamiri hapa nchini,Mume ajulikanaye kwa jina la Anthony amemuua Mke wake Sauda kwa kutumia Bunduki ya Shotgun kwa kile kinachodaiwa kuwa ni...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
SERIKALI imesema walimu nchini wangekuwa wanatumia nguvu kubwa wanayotumia hivi sasa kudai posho na malimbikizo yao, wangeitumia madarasani matokeo mabaya yangekuwa ni historia. Waziri wa Elimu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Miaka 50 ya uhuru inanionesha mengi sana chini ya jua! ndani ya nchi yenye asali na maziwa vilivyogeuzwa kuwa shubiri kwa watanzania walio wengi, Unapokuwa unafanya jambo fanya ukiangalia na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tangia nimekuja hapa Nchini nimepata ndege za Precision mara kadhaa sasa .Lakini kama kawaida ndege hizi zinatisha na bado zinaruka .Najiuliza maswali mengi lakini nisema kuna tume itaundwa baada...
7 Reactions
57 Replies
6K Views
Ubungo kati ya sehemu zenye mzunguko mkubwa masaa yote, nashangaa sana kuona mambo ya ajabu na nina uhakika viongozi waandamizi wa nchi wameishaona kinachoendela na madhara yake siku za usoni...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Gazeti hili la TANZANIA DAIMA linalomilikiwa na mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikael Mbowe siku hizi limepoteza mvuto kwa wateja limekuwa kama gazeti la UHURU la chama cha mapinduzi kwa kugeuka...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Jaman taarifa zisizo rasmi zinasema soko la bidhaa za mlaji la Uyole mkoani MBEYA linateketea hivi sasa kwa moto. Tunaomba mliopo huko mtujuze zaidi. Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jackson Odoyo, Zanzibar KESI ya ajali ya meli ya MV Spice Islanders iliyofunguliwa dhidi ya manahodha wa meli hiyo na mmiliki wake, imesitishwa.Kesi hiyo ambayo jana ilitajwa kwa mara ya pili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dunia ya leo watu hawapendi kulazimishwa mambo na saa zingine haya mambo ya kulazimishana kuishi Tanzania huku mnajua fika serikali yetu haina interest za wananchi wa kawaida unless unatoka from...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ndugu wana Jf!naomba msaada wa njia ya kuweza kupata kifurushi ambacho rafiki yangu kaniagizia toka UK,kupita workmate mwenzake ambaye ni mtu wa Uganda alikuja UG kwa dharula ndo akampa huyo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika pitapita yangu, jana nilibahatika kumuona mheshimiwa maghembe akizungumzia suala la sukari, akapiga mkwara kweli sukari isiuzwe nje ya mipaka ya nchi na akatoa namba yake ya simu with...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipo kituo kimoja cha kujaza mafuta hapa mitaa ya Kirumba jijini Mwanza namuona kamanda Wenje na mwenzie Highness wakiijaza mafuta kwenye gari lao. Nimewadadisi wakaniambia kuwa kazi ndio inaanza...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Umaskini unapimwa hivi (kipimo changu): Upatikanaji wa maji safi na salama kutotosheleza mahitaji, Uharibifu wa mazingira unaotokana na ukataji miti kwa ajili ya nishati, Kuongezeka kwa idadi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CCM mtatuweka ndani lakini Igunga tunashinda. Ni kama kumpiga chura teke, unamwongezea tu mwendo ! Kashindye ashinde, Kafumu afumuliwe.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Watanzania bado tupo kwenye majonzi ya ajali iliyoikuta MV. Spice Islander. Hakuna ukweli usiokificho ajali hii ingeweza kuepukwa kama watu walio kwenye mamlaka husika wangetekeleza majukumu ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale wenzangu na mimi mnaokaa kwenye sehemu za maisha ya watu wa kati(middle class) bila shaka mgawo wa umeme ni kitu cha kawaida.Lakini la kushangaza ni mustakhabali wa maisha ya watoto wetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom