Jana sikuweza kuangalia news kutokana na pilika pilika za mjini, na usiku kama ada hatuku bahatika kupata mgao wa Jairo na Ngeleja. Nimestuka na kufadhaishwa sana baada ya kusikia redioni ETI...
Serikali ya Zb imeanza utaratibu wa kutoa bei elekezi kwa bidhaa muhimu kwa mlaji kama ngano na mchele. Atakayekiuka kufungiwa leseni na kuchukuliwa hatua za kisheria. Sisi (Bara) tumekalia bei...
Katika hali isiyotarajiwa idara ya uhamiaji inahusika na biashara ya kuuza binadamu,,,,taarifa ambazo leo zimeripotiwa na gazeti la nipashe zinasema kuwa baadhi ya maofisa wa uhamiaji...
Hawa Airtel sasa wananipa mashaka, nimeweka tsh 2000 nimeongea sek kama 20 imekata na hela imeisha,
nikaweka tsh 1000 nimeongea sekunde chache imebaki tsh 71. Hiyo sh 71 haitaki kwenda kokote...
Baada ya kusoma makampuni bora kwa ulipaji kodi
Mheshimiwa Spika,
Nitumie nafasi hii kuwapongeza baadhi ya Walipakodi Wakubwa kwa Serikali na ambao wamefanya vizuri kati ya kipindi cha mwaka...
Napenda kujua wadau hivi hizi nauli za hapa jijini ni nani hasa msimamizi,
Labda ndio wanasimamia barabara kuu tu siye wa pembezoni mmmhhh.
MFANO
Nauli za Banana kuelekea Mwanagati, Kibeberu...
If you dont have a friend from the lakeside, you are missing out on a serious part of what makes Kenya
They have a flamboyant nature and sense of style founded on three tenets, pakruok (self...
habar JF!<br />
Muda wa saa kumi leo jioni nlipanda dala dala la kutokea mwenge kwenda Tandika DCM lenye usajili T 741 AEG (MOCHANA). Kumbe dereva kalewa kinoma...abiria wamelalamika kuhusu...
Hii itakuwa habari mbaya kwa waitimu wengi wa CPA Tanzania maana
report wanazotoa haziendani na mafunzo waliyopata wamejiingiza kwenye wizi
na mabo ya siasa
A Disclaimer of Opinion, is issued...
Ndo natoka hapa muhimbili kumwona mgojwa huwezi kuamini hakuna umeme,
na generator yao ni mbovu, sijui inakuwaje ndo maana wakinamwandosya wanaenda India!
hii nchi watu wanaofikilia ni wachache...
Tz ni mshirika mkubwa wa marekani na Marekani ndio ilio kuwa engine ya vita vya kuondoa utawala wa Gaddafi, na tusinge weza ku mpinga Marekani kwani kila kitu tuna tegemea kutoka kwake, misaada...
Itatuchukua muda sana hadi tuje tushuhudie mawaziri na baadhi ya wabunge wakilala hadi udenda ukiwatoka,,,,,haya mambo yalikuwa yakionekana exclussively kwenye BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA...
Jana niliomba statement CRDB, nilikutana na makato ya ajabu.
Mlolongo huu wote huwa mnatuibia.
Card Fees TZS 3000
ATM Withdrawal charge TZS 500
COMM EFT TZS 1500
Monthly Maintanace Fees...
Napenda kuliweka hili hapa jamvini kama zawadi ya Eid kwa kila mwana jamvi Eid Mubarak
Katika taasisi nyingi hapa Tanzania wafanyakazi wao wanavaa na wanaruhusiwa kuvaa mavazi yanayolingana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.