hi wanaJF sasa unaweza kusikiliza TBC FM online. tembelea site yao www.tbc.go.tz then angalia upande wa kulia utaona listern tbc fm live bofya hapo, TBC taifa nayo wameandika live ila sijaipata...
Kiongozi wa kambi ya upinzani leo amevaa vazi la kanzu ambao ni vazi rasmi la ibada la waislam, hii ni ishara nzuri na strategy nzuri kwa mwenyekiti wa chama kilicho chafuliwa na siasa chafu za udini
Imeandikwa na John Nditi, Mvomero; Tarehe: 27th August 2011
WANAFUNZI wa shule ya awali katika Kitongoji cha Kinyenze, Kijiji cha Kipera, Tarafa ya Mlali, Wilayani Mvomero, wameshindwa kuendelea...
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Hassan Nasir amesema Sheria ya Kupiga Marufuku Kuingiza Vinywaji vyenye Kilevi katika kisiwa cha Pemba ya mwaka 1928 bado ipo na haijafutwa.
Kamanda...
Heshima kwenu wakuu,
Sikupata bahati ya kufatilia bunge kikamilifu kwa sababu mbalimbali zikiwemo mgao wa umeme na mihangaiko ya kutafuta riziki. Kwa waliobahatika kufatili naomba mtupe uwezo na...
Nimekuwa karagwe kwa wiki kadhaa sasa, nimeshuhudia mengi. mojawapo ni maendeleo ya kasi ambapo hivi sasa kuna redio mbili za FM, Karagwe Fm na FADECO FM. kwa hakika zinafanya kazi nzuri maana...
26 August 2011
Kampala - After being disowned by his father and his wife Daniella threatened to divorce him, singer Jose Chameleon's has back-slided on his decision to become a muslim.
Daniela's...
Gymkhana Yaripuliwa, Yachomwa Moto.
Bar Maarufu 'Gymkhana' maisara na kikwajuni. Jumatano magharibi imechomwa moto na watu wasiyojulikana. lakini inasemekana watu wanne waliyokuwa wamevalia...
Dear Br n sis
KARIBUNI KUJUMUIKA PAMOJA KUPOKEA NDEGE YA B737/800 BRAND NEW KUTOKA BOEING COMPANY KESHO AMA MASAA MACHACHE KUTOKA SASA MJINI KIGALI KWENYE MIDA YA SAA TISA MCHANA..JUMAMOSI..HII...
[SatNews] At a recent customer launch seminar, new services have been revealed...
Vizada Networks will unveil new connectivity services based on the implementation of a sophisticatediDirect hub...
Mmh rev,appostle gaga,firdtlady first born nk sijui wapinduguzangu
ma wacha nisubirie ndge kesho jamani kgl yaani ni romantic weather tupu najuta kwa nini sikuja na mama
ila nikoswafiiiiiii
Wapenzi wana JF, vitabu vitakatifu vinatuambia kwamba Mungu alimuumba binadamu kwa mfano wake. Na wakati huo huo kuna msemo kwamba kazi ya Mungu huwa haina makosa. Kama hayo ni kweli na...
Moja kati ya mafanikio makubwa ya CDM katika bunge la mwaka huu ni CDM kuwasaidia Wabunge wa CCM kuwa huru na kutobanwa na kamati kuu ya chama (CCM) kama zamani. Mbali na kuanza kinafiki baadae...
Halo wana JF, nauliza hivi kwa sababu kuna baadhi ya vitu vingine havijulikani kwa majina ya kiswahili. Mfano:
Matunda haya kwa kiswahili yanaitwaje?
Kwa lugha fulani wanayaita mafyulisi, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.