Wakati zoezi la upunguzwaji wa wafanyakazi ATCL likiendelea habari zilizotufikia hivi punde zinasema wakati majadiliao yakiwa yanafikia mwisho kumezuka mjadala mwingine na huku wengine wakitaka...
AKIFAFANUA kuhusu uingizwaji wa madawa ya kulevya nchini,kijana mmoja aliyewahi kutumiwa kama mvushaji wa madawa hayo(jina linahifadhiwa) ya kulevya alifafanua kuwa,mambo kama hayo hayawezi...
KATIBU wa Jumuiya ya Vijana ya Chadema (BAVITA), Anold Kamunde na aliyekuwa Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema, Gervas Mgonja wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za wizi wa kutumia...
Yule Sheikh Mtoto maarufu kama Sheikh Shariff ambaye aliitingisha Tanzania kwa ufahamu mkubwa wa Quran akiwa na umri wa miaka tisa hatimaye amesalimu amri na kuokoka, katika kanisa la Pentekoste...
Sisi wananch tulio wengi tumefurah sn na tumeunga mkono hotuba yako kwasbb umeongelea vema katiba inayotakiwa tz lkn wamekuona umegusa maslai binafs ya wachache. WAMEKUTOLEA MANENO YA KUUDHI NA...
I was thinking of becoming an alcoholic. Because one of the things I've always prided myself in, in these first 59 years of my life, is being a controlled drinker. I think now is the time to throw...
Nimeshindwa kuelewa ni bahati mbaya au ni kwa makusudi, nilikuwa najaribu kusoma tukio furani
nimefungua zaidi ya mara tano napata message hii hapo kwenye picha
Wiki hii huko huku Rombo TRA wamekua wakipita katika masoko kutokana na siku za masoko zilivyopangwa na wamekua wakikagua magari na pikipiki ambazo bado hazijalipiwa pamoja na leseni ambapo...
Kwa hilli Luhanjo ametukatisha tamaa, inauma inauma inauma saana kwamba
hakuna mawasiliano kati ya Rais wetu mpendwa na Luhanjo, Haiwezekani jana mtu
anaingia ofisini (Jairo) na leo anatolewa...
Nimepita leo wilayani sengerema mjini, nimeshtuka kweli kuona vikongwe ambao walistahili kukaa nyumbani na kutunzwa na familia zao, wakiwa stand kuu wakisubiri mabaasi ya abiria kwa kazi moja ya...
Suala la Luhanjo kutofautiana kimaamuzi na Boss wake
Ikumbukwe pia Ofisi ya Luhanjo ipo IKULU, si ajabu hata makazi ni hapohapo!
SIDE A.
1. Kama Luhanjo alifanya maamuzi bila kumjulisha Boss...
JESHI la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ), linatarajia kuanzisha benki yake itakayowasaidia wanajeshi kupata mikopo ya riba nafuu, kwa ajili ya kuendeleza kipato na mitaji ya biashara zao...
Tiba ya Babu Imeleta Maafa - Chama Cha Madaktari
Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri
Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwasapila
Chama cha Madaktari nchini (MAT) kimesema tiba...
Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa asubuhi ninapoelekea kazini nikiwa barabarani ocean road upande wa baharini namuona mama mmoja na watoto watano hukaa hapo pembeni ya bahari toka asubuhi mpaka jioni...
Mbunge wa jimbo moja (sijalijua sawasawa) la mkoani Singida, Mohammed Misanga
amekurupuka kutaka kujadili mshahara wa waziri wakati kifungu hicho hakijafikiwa
na wenzake walikuwa wanachangia...
Mchungaji mstaafu wa kanisa la Moravian huko Rungwe, mzee Mwakasege amefariki leo Hindu Mandal Hospital. Mzee huyo ndiye baba mzazi wa Mwl na Mhubiri maarufu Christopher Mwakasege.
Ibada ya kuaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.