Duh hii ndiyo tz bwana, wakati kuna watz wanaishi kwenye dimbwi la utajiri wala bata kwenye ndege kila nyayo zao zikiwasha tu, leo hii kuna maeneo ktk tz hii wanauza mifugo yao kwa kipimo cha zama...
Bibi Mawazia Kibwana , mkazi wa Kitongoji cha Kinyenze, Kijiji cha Kipera, Tarafa ya Mlali, Wilaya ya Mvomero, akitoa malalamiko kuhusu kubomolewa choo chake na kuwekwa kwa uzio wa seng'enge na...
Rais Jakaya Kikwete
Katibu mkuu kiongozi Philemon Luhanjo ambaye alitangaza kumrudisha kazini Jairo
David Jairo akipongezwa jana
David Jairo akiwa kazini jana
Rais DKt Jakaya Kikwete...
When people say that in East Africa we still don't have bloggers who make an impact, they are living in some hole. Blogging and citizen journalism in the region is making great headways. We have...
Hakuna aliyewaingilia wazanzibari wakati wakifanya mabadiliko ya katiba yao! Iweje leo kikundi cha wanasiasa wachache watuletee ubabe sisi wananchi wa Tanzania bara(Tanganyika) ati lazima...
Poleni na majukumu wakuu!
Nimeona ni busara nirejeshe matokeo kama nilivyokuja kuomba msaada hapa jamvini (wale mlioweza kusoma thread "International Passport") ukiachilia mbali kuwa ni muda...
Kwenye habari ya leo saa 2.00 usiku, ITV wameonesha meno yapayo 1241 yakiwa
yanasafirishwa kwa njia haramu bandari ya Zanzibar.
Imeongezwa kuwa polisi walishtukia magunia hayo yaliyokuwa na...
Wana JF
Nimepata habari hizi na nimebakia nashangaa ila nikaona vyema ku share na nyie. Last week Ben Malisa alimaliza kozi yake pale Chuo cha Diplomasia na akaamua kupanga party ya kufa mtu...
*25.08.2011*|*02:00 UTC
WASHINGTON
Jarida la Forbes limemtaja kansela wa Ujerumani Angela Merkel kama mwanamke mwenye nguvu kubwa kabisa duniani. Jarida hilo limemueleza Bi Merkel kuwa...
Pamoja na perfomance ya utendaji kazi wa mtu, mavazi ni moja ya vipambo wakti mwengine vinamsaidia mtu kukubalika ktk hatua za mwanzo. Ndio! kama kwenda kwenye interview ya kazi ukavaa suti...
Akihutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Park mjini Nzega Mbunge wa jimbo hilo Mh Lukas Lumambo Selelii pamoja na mambo mengine alisema kuwa serikali isipowawajibisha watuhumiwa wote wa...
Hakusahaulikwa kwani ndiye aliyetoa ahadi nyingi za ukwel kuliko kiongozi yeyote aliyepita, aliwashawishi akina female kuwa ni handsome wakampa kura za ndiyo, aliwakemea washikaji zake wasitumie...
jana nilikuwa nimekaa na mwanangu, kuna lile tangazo la kinywaji cha mountain dew, kuna yule faru anakuja kasi kwa jamaa aliye na kinywaji hicho, faru anapiga breki kali kisha natoa kitu kutoka...
Prime Minister, Mr Mizengo Pinda
Tanzania has more resources compared to other member states in the East African Community (EAC), which ought to be fully utilised to improve living conditions...
Wana JF,
Naja tena na muswaada huuu wa Pesa Mpya ambazo BOT walizi pigia debe sana kuwa ni za ubora na kiwango cha hali ya juuu saana na sio rahisi kughushi hizo pesa mpya.
Mbali na hilo BOT...
Tbc one leo kwenye taarifa ya habari
wamemuonesha kijana aliyeweza kuunda magari yake mwenyewe
na anawauzia watu huko mbinga,ruvuma
ameshatengeneza magari manne so far,na bei yake ni millioni nne...
LEO ALFAJIRI MIDA YA SAA 11.30 NILIKUWA MAENEO YA AKIBA PALE CBE.KWA UPANDE WA PILI KWENYE OFISI ZA TaESA(WIZARA YA KAZI) PALE NIKAONA WANAPANDISHA BENDERA MUDA HUO,NILIVYOMWANGALIA ALIYEKUWA...
Kuna kiongozi mmoja wa ngazi za juu hapa nchini ana mkono wake kwenye makampuni ya mafuta so huyo ndo ameshikilia umeme. Anapopata anatoa mgao kwa viongozi wa juu. huu ni ufisadi mpya wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.