Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Idd Amini Dada alipopigana na Tanzania lengo lake ilikuwa kuchukua kipande cha ardhi toka Tanzania, yaani eneo lote toka mto kagera (pale Kyaka) hadi Mtukula. Leo nashawishika kusema alifanikiwa...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Bwana harusi mmoja mkazi wa Makete mkoani Iringa jina na picha za harusi yake zimehifadhiwa ametoa mpya ya mwaka baada ya kugoma kata kata kuingia ukumbini kwa madai kuwa bibiharusi si...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Ndugu wana jamii nimetumiwa sms ifuatayo"RIM-Blackberry has awarded you 2,000,000 Pounds.Email NAME,COUNTRY to:ukblackberry@live.co.uk". from +4915159916575. Ninachokiona hapa ni utapeli.Kama kuna...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ooh ma god kwa mnaoangalia televission ya emmenuel wako na ibada inaendelea mtumishi wa mungu akasema kuna mtu ana pete ameipata east africa njoo haraka na unapoendelea kusubiri usiku wa leo hiyo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Source = Yahoofriends A boy was born to a couple after eleven years of marriage. They were a loving couple and the boy was the apple of their eyes. When the boy was around two years old, one...
0 Reactions
1 Replies
914 Views
Tangu mwaka 2005 ulipoingia madarakani ulisema majina ya wauza madawa ya kulevya unayo, kwanini hadi leo huwataji licha ya kwamba unawafahamu?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Neno hili nimelifuatilia sana na nimegundua linatumiwa sana na wenzetu wahubiri wa Kiislam. Mfano,,Dini ambayo "Haina Mashaka",,,,,, Kitabu ambacho "Hakina Mashaka",,,,,,, Sasa naomba...
0 Reactions
0 Replies
942 Views
  • Closed
Kwa Kweli Waafrika ni LAANA!! Yaana Serikali inatumia mahela meengi kupambana na mtu mwepesi kama Lema!! Kisa eti kataka haki itendekek kwenye uchaguzi wa meya!! Angalia yanayofanyika Mwanza...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
kutokana na hali halisi inavyokewnda hapa nchini tanzania, kila kitu kimevurugika, wizi kila sehemu, ufisadi wa kutisha, ukosefu wa huduma muhimu kama umeme, maji, hospitali zenye madawa na...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Tanzania in talks with miners to raise royalties on gold By: Reuters 15th August 2011 DAR ES SALAAM – Tanzania plans to conclude negotiations with mining companies early next month to allow the...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Katika hali ambayo haikutegemewa compuni ya BP Tanzania imeaanza kuuza mafuta yake katika vituo vyake. Leo tarehe 22.08.2011 kituo chake kilicho karibu na Bank M wameanza kuuza mafuta. Kama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Heading ya Nipashe ya kesho,Wana jamii ni pigo gani hilo?Kama kuna mtu anajua story hii atujuze kabla ya kulala
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UTAWALA WA GHADAFI UNAPOROMOKA UTAFUATA WA NANI? When rebels reached the gates of Tripoli, the special battalion entrusted by Gadhafi with guarding the capital promptly surrendered. The reason...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi karibuni mwanasayansi mmoja nchini India, amekiri kwamba binadamu anapokufa, huja kuzaliwa tena na kupewa mwili mwingine . Hii ina maana kwamba, sisi pia tumeshawahi kuishi huko nyuma kabla...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Wa ndugu, hizi speed humps kutoka dar to arusha imekua kero. Imefikia hatua wananchi wameanza kujenga humps zao za udongo between wami and segera. Hamna hata sign ya kuzionyesha na pili ni kubwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam wakuu...! Asubuhi kabla sijainua miguu yangu kueleke kutafuta riziki ya kila siku nimeona mwendelezo wa kile wananchi wengi wakistaajabu kwa kituo cha luninga cha Star kutomuonyesha mbunge...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani vituo vyote vya kuuzia mafuta havina petroli. Naomba mwenye kujua sababu ya uhaba huu wa mafuta atueleze ili umma ujue na ujihami.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wa ndugu, hizi speed humps kutoka dar to arusha imekua kero. Imefikia hatua wananchi wameanza kujenga humps zao za udongo between wami and segera. Hamna hata sign ya kuzionyesha na pili ni kubwa...
0 Reactions
0 Replies
908 Views
The Arusha District Council has embarked on a multibillion shillings project to build a new satellite town comprising hundreds of residential houses and shopping malls. “We’ve already...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Bi mdogo imemlazimu kuuza nyumba yake ili kumuokoa bwana ake asinye ndoo kwa sababu ya udhamini wa mikopo aliyo kopa mkewe (bi mkubwa),ambaye amekimbia mji. Bi mdogo ni mtendaji kata,kata ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom