Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
"Sex desire is the most powerful of human desires. When driven by this desire, men develop keenness of imagination, courage, will-power, persistence, and creative ability unknown to them at other...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Leo nilitembelea maeneo ya Tabata kwa mwanangu, wakati narudi kwangu kule Kigamboni , ghafla kufilka pale wanapoita Tabata reli Trafiki Police alisimamisha magari ya upande mmoja ilikuokoa jahazi...
0 Reactions
50 Replies
9K Views
Wabunge wametishia kutopitisha bajeti ya mama Celina KOMBANI, Mbunge mmojawapo aliyetoa kitisho hicho ni FELIX MKOSAMALI. Hayo yalijiri jana kwenye semina juu ya vigogo wa madawa ya kulevya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
leo Arusha ni ufunguzi wa ligi ya Vodacom kati ya Simba na JKT Oljoro.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jeshi la polisi linamshikilia mwanamke mmoja ambae alishirikiana na house girl kumuadhibu mtoto ambae alidokoa mboga,,,,,, MY TAKE;UKATILI HUUU KWA WATOTO HAUVUMILIKI JAMANI
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Tanzania is planning to repossess assets obtained through criminal means starting this month, after the law establishing the Assets Recovery and Forfeiture Unit came into force on July 1. The...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Nawashangaa Agenda Participation 2000 na ActionAid. Wanatumia pesa nyingi kufanya mikutano ya hadhara, ati, Tanzania tunayoitaka isiyokuwa na mgao wa umeme! Duh! Haya, hawataki mgao, je, wana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
sijui naota ma ni kweli, hivi hii nchi inapelekwa wapi jamani? hivi kweli kuna matumaini yoyote ya sasa na baadae? ina maana tumeridhika na haya mateso? uporaji wa rasilimali zetu bila ya woga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu niko nje ya jiji la Arusha naomba kupewa taarifa eti yule meya mwenye utata jijini Arusha eti amevamiwa na majambazi na ametishiwa kuuwawa! mwenye taarifa naomba aiweke hapa tafadhali.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi najaribu kukumbuka uchaguzi wa mwaka 2005 Kwa jinsi watanzania walivyo kuwa na Imani kubwa kwa Rais J.Mrisho Kikwete kuliko mgombea yoyote yule!Nikwa nini?hatukuwa na imani na wagombes...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
...wabunge sasa nawahoji...wanaokubali waseme ndio...wasiokubali waseme sio...NADHANI waliosema ndio wameshinda.Huu ndio utaratibu unaotumika ktk bunge letu kupitisha au kutopisha mambo muhim ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kitendo cha kuwanyima mikopo wale wa "equivalent na mature entry" ni kuwanyima haki yao ya kusoma... Wote wapo chini ya serikali hiyo hiyo iliyowapa kura. Wafikirieni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wanajamvi kupita pita nikakutana na huyu jamaa ambaye analia kila siku kwa kupigwa BAN. Ametoka kivingine Malaria sugu wa Ukweli hapa ss analia! Ni Maamuzi binafsi. Nia ya mtandao huu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kashindye kuiwakilisha CHADEMA Igunga na Mustapha Kapalata, Igunga CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kimemteua mgombea wake, Joseph Kashindye, kuwania nafasi iliyo achwa wazi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Pamoja na kuwa na msongamano mkubwa wa watu katikati ya jiji la Kampala pengine kuliko ule wa Kariakoo jijini Dar, daladala muda wote iwe asubuhi au jioni hakuna KUGOMBANIA. Pamoja na kuwa na...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
mambo vp ndugu zangu. mm ni mtanzania nnaevizia nafasi za jeshi kwa maafisa mwaka huu. Mashaka yangu ni kwamba nnatumia miwani kwa miaka miwili sasa kutokana na myopia(kutoona mbali) sasa nna...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Fina Lyimo, Rombo MWALIMU wa Shule ya Msingi ya Kwamaksau iliyopo Useri, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro anatuhumiwa kuwalawiti wanafunzi sita wa kiume kwa nyakati tofauti baada ya kuwarubuni...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Huwezi amini rafiki mkubwa na mwana miradi wa mh. Hakimu wa mahakama ya wilaya kilosa,atiwa mbaroni kwa ujambazi
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naombeni kujua,nasikia kuna asikari polisi mmoja songea,kibaru kimeota majani kwa kosa la kuandika barua kwa mh. rais ya kudai kuongezwa posho (ration allowance).
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi naomba kuuliza vyombo vya Serikali Usalama wa Taifa,takukuru,naTAA.huyu bwana Devid ngarapi ni mwezenu au yeye ni nani tumechoka vitisho vyake pale cargo gate no 6c Julius Nyerere...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom