Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Utawala wa kanali Muammar Ghadafi umekaribia kuangushwa,lakini je,nchi za magharibi ndio zimefika mwisho wa sera zao? kutolewa kwa Gadafi ni mwanzo wa mipango ya kutolewa mwingine
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Focus on East Africa A regional sales manager has been appointed for the East African market, Danimex welcomes Sanctus Mtsimbe. Friday, August 12, 2011...
17 Reactions
60 Replies
10K Views
Wauza Dawa Kulevya Wanyongwe-Wabunge Wapendekeza hivyo baada ya kuona mkanda wa video Mmoja alia akikumbuka watoto wa dadake waliokufa Pinda aahidi mahakama Maalum kwa wahalifu hao Na Pendo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu Leo nilikuwa naangalia mjadala kuhusu hii mada katika Russian TV. Hoja iliyopo ni kuwa nchi za magharibi ni zipi? Je huu 'umagharibi' unatokana na sehemu nchi zilipo kijiografia au ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
New7Wonders of Nature is an initiative started in 2007 to create a list of seven natural wonders chosen by people through a global poll. It is being led by Canadian-Swiss Bernard Weber and...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Rais Jk amesema kuwa kazi kubwa ya kiongozi ni kuwatumikia wananchi,kwa kuwasikiliza na kutatua matatizo yao,,,,,,,,,,aliongea akiwa hukooo mkoani LINDI. MY TEKI: Sijui alimaanisha kuwa yeye ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi majuzi nilibahatika kutembelea dodoma,off course dodoma inakua kwa kasi mno hongera kwa hilo.kilicho nipelekea kuomba muongozo ni kuwa kwa muda wote niliokuwepo dodoma,kuanzia tarehe 17/8...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni huyu adui justification,kujustify kila kitu Tanzania kila mtu anajustify anacho fanya. Kuanzia muhudumu hadi boss mkubwa, umeenda hotel unaletewa chakula kimeungulia unaambulia samahani na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa, amekiaibisha chama tawala kwa kuhusishwa na tuhuma za kutumia vibaya madaraka, akiwa mwenyekiti wa bodi chini ya wizara ya maliasili na utalii. Inabidi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
“This is not time for defending oneself. It is time for speaking the truth” Attorney General Frederick Werema By Lucas Liganga The Citizen Chief Reporter Legislators yesterday voiced...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana wa misri walitoka usiku mussa akamwambia bwana usipokuwa nami sitokimahaali hapa nawe usiku wa leo amka uanze kupiga majeshi yanakuzunguka pengine umekuwa maskini unaishia kusema aaha...
2 Reactions
23 Replies
16K Views
Wauguzi KCMC, Mawenzi wahojiwa kwa mauaji WAUGUZI wawili, mmoja wa Hospitali ya Rufaa KCMC na mwingine wa Hospitali ya Mkoa Kilimanjaro, Mawenzi, wanahojiwa na polisi kwa tuhuma za kula njama...
2 Reactions
32 Replies
12K Views
Wakuu napenda tu kuuliza hilo swala la kujivua gamba iliishia wapi? Au mlengwa alikuwa Rostam? Maana kulikuwa na mbwembwe nyingi na maneno kibao lakini sasa hivi ni kimyaaaaa imebaki tu maongezi...
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Wana JF Munaonaje United Republic of Tanzania tukaivua gamba ! Badala ya kuwa na mfumo wa serikali mbili na wazanzibari kudai serikali tatu,na kwa vile kizazi cha sasa hawalitaki au wanalichulia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanafunzi saba wa kidato cha nne shule ya sekondari umbwe wametimuliwa kwa makosa ya uvutaji bangi na wizi uliokithiri. hiyo imeamuliwa leo na bodi ya shule hiyo. imesemekana wamepewa adhabu hiyo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau, Natafuta mtu wa kunisaidia 5mil. Nitarudisha 6mil afta 2months Dhamana naweka kadi ya gari pamoja na gari yenyewe
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna mabinti ambao mwisho wa mwezi ninapoamua kwenda kujipongeza kwa moja moto na moja baridi huwa wananizengea zengea mezani. Nikiwakaribisha wanaanza kuniita majina ya ajabu; mara 'honey', mara...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ivi hawa tanesco hawahwezi wakawa wanagawa umeme mchana kwa maeneo ya viwanda alafu kwenye makazi ya watu wanaleta usiku mpaka asubuhi! Ingawa tatizo litakuja mpangilio wa miji yetu unakuta watu...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Wana JF, Habari za kuaminika nilizo zipata toka Arusha Kuwa Adv. Mwale kalazwa Mt.Meru baaada ya kupata maumivu kwenye chumba cha mateso walikuwa wakitaka kujua hizo Billion ni za wateje gani, Na...
2 Reactions
60 Replies
9K Views
  • Closed
Kwenu Watanzania ! Nimesoma kwa makini kabisa kinachoendelea katika sakata la kibiashara ambalo Mh Mbowe anahusishwa na ukopaji wa kupita kiasi ! Nasema wakupita kiasi kwani Mh Mbowe alikuwa...
0 Reactions
364 Replies
35K Views
Back
Top Bottom