"umesikia wewe k@,?§%*=¥¤yo! Una elimu, chogo kubwa lakini huna akili. Mbwa wewe! Hizo tani tatu hakikisha zinarudi we k..........yo!"
halafu baada ya muda akamwambia, "utaniharibia swaumu".
Ni...
Mgawo wa umeme watikisa tena nchi
Waziri wa Nishati na madini, William Ngeleja,
Neville Meena, Dodoma
WIKI moja baada ya kupitishwa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini iliyojaa mikakati...
Wana jf. nna tshrt nauza zimechapishwa chata la plate number ya tz iliyoandikwa TZ1961- na GIZA TOTORO kwa chini kidogo. kwa yeyote atakaehitaji please feel free to ukweli mbaya....maalum 4 50yrs...
Kwa muda mrefu sana kumekuwa na malalamiko kuwa kuna wanyama pori wametoroshwa pamoja na ndege,ambapo idadi ya wanyama ni 116,Mim napinga jaman,hakuna mnyama wala ndege aliyetoroshwa,,,,,,hebu...
Naomba kufahamu mmiliki wa huu utitiri wa majumba yanayoitwa SOPHIA HOUSE yaliyoko karibu kila kona ya city center, karia koo, chang'ombe ni mali ya nani hasa na huyu sofia ni nani na iweje mtu...
Mchambuzi maarufu wa siasa afrika ya mashariki amefariki dunia. Kwa mujibu w BBC Amboka amefariki leo asubuhi mjini nairobi. Mtoto wa marehemu ameiambia bbc kuwa baba yake alipatwa na maumivu ya...
Napenda kujua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana Kazi zipi?
Katiba anampa madaraka makubwa Rais kuteua wasaidizi wa kumsaidia kuendesha serikali, endapo msaidizi au wasaidizi hao...
Napenda kuwakaribisha wale wote waliosoma Dom sec kwenye sherehe ya mwaka ya wanadomsec itakayofanyika leo 20/08 Mbalamwezi Beach kuanzi 5 asubh mpaka tee, vinywaji na misosi kila mtu...
Hoja ya Mh. Wenje juu ya mgao wa umeme imeleta ahueni hapa Mbeya. Tangia juzi usiku tumekuwa na umeme wa uhakika. Kwa kuwa ni kitu ambacho hatujakizoea, mpaka leo hii siamini kama nipo Tanzania...
Friday, 19 August 2011 20:26 0diggsdigg
REX ATTONEY YAHUSISHWA NA MALIPO YA SH7 BIL. YA UENDESHAJI KESI, DHAMANA YA SH8 BIL. NAYO YALIPWA LONDON
Neville Meena, Dodoma
WAKATI nchi ikiwa...
Jana tarehe 19 August 2011 Katika Kiwanda cha Kuzalisha Sukari cha Kilombero kwa sasa kinajulikana ILLOVO kulikuwa na Hali ya sintofahamu na iliyopelekea Wakata Miwa kuchukua Maamuzi Magumu ya...
FRIDAY, AUGUST 19, 2011
Fm ASSAH MWAMBENE, Luanda Angola
The SADC top brass has defended election of South African President Jacob Zuma and Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete to head...
Wanajamvi napenda tujadili hii mada kwa urefu na mapana.Tanzania ni nchi inayoendeshwa kwa mfumo wa vyama vingi mfano wa vyama ivo ni Nccr-mageuzi,Chadema,Cuf,Ccm,Updp,Ppt-maendeleo na Dp.sasa je...
Pamoja na kuwa CCM haikushinda kihalali, lakini ndugu zetu mlioichagua CCM mmesaidia wao kupata njia ya kuchakachua na kuweza kurudi madarakani. Matokeo yake mateso tunayopata sasa na mbaya zaidi...
Ndugu zang jf naomba munisaidie namba au Email ya Rais Barack Obama ,nimechoka mno na nchii hii bora niwe house Boy wake.
Maisha bongo co yenyewe kabisa
msaada wenu jamani
Habari zenu wandugu zangu nipeni tu ushauri maana nimetafakari mpaka naona siwezi nilitokea kumpenda msichana mmoja tangia mwaka 2005 mpaka mwaka 2009 Nikaona nimwandikie barua nhkamwelewesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.