Sasa hivi ni habari za bunge/siasa tu....... ooh furani kasema hivi, kafanya hivi, kafanya vile.....lkn mwisho wa siku sioni resolutions zinazofikiwa kwa maslahi ya mtz, wala positive way-out ktk...
More than 150 people caught after rioting swept across UK were foreign nationals and will be deported Last updated at 4:47 PM on 19th August 2011
At least 150 foreign rioters and looters...
Ni jana mbunge wa Nyamagana aliomba kutoa hoja bungeni kutokana na adha ya umeme unaosadikika kukoseka katika Jiji la Mwanza kwa siku 4 mfululizo, Arusha, Mbeya, Kigoma na baadhi ya sehemu za Dar...
Wakuu.
Karibu kila wizara ina standby generator na mengine kwa sasa sio standby bali ni e electricity supply generator kutokana na muda yanayotumika
Ofisi za Mikoa na hata wilaya kuendesha...
Jamiiforums imekuwa social network iliyowavutia na inawavutia vijana wengi wakubwa kwa wadogo
Jf imekuwa tofauti na social network nyingine hapa tanzania maana ina mlengo tofauti.
Jf imeweza...
Leo nimeshuhudia baadhi ya miskiti maarufu nchini baada ya swala ya la Ijuma waislam walikuwa wakigaiwa karatasi .waislam wengi walikuwa wakiwania karatasi hizo kwa hamu
karatsi hizo zenye page...
Heshima yenu wanajamii,naomba kwa wale wenye kufahamu website nzuri za kufanya manunuzi ya nguo na raba mtandaoni{online shopping},nimejaribu baadhi ya site za marekani hawauzi nje ya...
Wapendwa, Mabibi na Mabwana: Kwanza kabisa poleni kwa majukumu ya siku nzima ya leo. Ningependa kuwasilisha kilio changu kuwakilisha watu wote wanaotumia Baiskeli kwa shughuli zao za kila siku...
Jamaa anawaibia mawakala wa M-pesa kwa kujifanya anafanya kazi vodacom kumbe tapeli anawahadaa wanampa simu ya wakala na kukiba mapesa kaisha iba zaidi ya milioni kumi huyu mwarabu kokooo jizi kuba
AUG 18, 2011 13:49 EDT
AFRICA | ALASSANE OUATTARA | FRANCE |IVORY COAST | LAURENT GBAGBO | MBKEI | PEACEKEEPING | UNITED NATIONS | WEST AFRICA
UN peacekeeper in Ivory Coast in April 2011...
BABU KORTINI
Na Makongoro Oging'
Baadhi ya wagonjwa wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi waliokunywa kikombe cha Mchungaji Ambilikile Masapile (pichani) mwaka huu katika Kijiji cha Samunge, Loliondo...
Ni mara nyingi huwa nasikia makelele kuhusu matatizo mengi yanayotukabili from hicho chama ila sijawai kuona wamefanya action yoyote kama ni shida watu wanaendelea kupata shida.
Hivi kuna mtu...
1.Report ya jairo imewasilishwa siku nyingi na CAG na jamaa kakaa kimya na sitegemei lolote juu ya hili sanasana pesa zetu zimetumika bila kuserve purpose
2.Sijasikia lolote juu ya tuhuma za...
Kama wiki mbili zimepita Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya SIMON GROUP LMT bwana Robert Simon Kasena alidai kuwa UDA ilifikia ktk hali mbaya mno ilikuwa ikiweka rehani mali zake alafu inapopewa...
Thursday August 18, 2011
Local News
Lawrence Masha implicated in Jerry Muro case
By JOYCE KABIGI, 18th August 2011
LAWRENCE Masha, the former Minister of Home Affairs, was on Thursday...
Katika siku za maisha yetu kama watanzania nimekutana na operasheni nyingi za mashirika ya umma yakiwa na lengo la kuhakikisha yanapata makusanyo ya kutosha ingizigatiwa mengi yao sasa yako...
Sasa hivi tunaelekea mwezi wa kumi tukia hawa wabunge wa Dar es salaama
wamechaguliwa hawajafanya kitu tokea wachaguliwe.
Haiwezekani kwa miezi kumi mtu anawakilisha wananchi zaidi ya millioni 2...
THURSDAY, 18 AUGUST 2011 13:58 NEWSROOM
NA MWANDISHI WETU UHURU
MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi, amemvaa Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu, akimtuhumu kuhusika na ugawaji wa...
Wakata Miwa wa Kiwanda cha ILOVO chenye Matawi Mawili (KILOMBERO-1 na KILOMBERO-2) Leo ni siku ya Nne wamegoma wakidai Nyongeza ya Mishahara yao, huku wakiwa na Maandamo yasiyo Rasmi wakiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.