Habari wana ndugu nikiwa katika kusoma maandiko nimekutana na hili neno limenigus a nikaona si kushirikiana tu kwingine hata kwenye kuokoa roho zetu pia
Mithali 6:32
MTU AZINIYE NA MWANAMKE...
Jamani, kama kuwa waziri kwa miaka minne tu, inamfanya mtu awe hivi , mi nachelea tutarudi kwenye usultani sasa hivi! Hebu angalia habari hii......
Waziri Ngeleja nusura azichape kwa adha ya ATM...
Nilipokuwa Bwa Mdogo nilikuwa naishi na uncle wangu! Huyu bwana alikuwa na tatizo la kisaikolojia ambalo kitaalamu linajulikana kama Inferiority Complex! Siku moja baada ya kurudi home usiku...
Tuesday, 10 February 2009
VATICAN City State au kwa kifupi Vatican ni nchi yalipo makao makuu ya Kanisa Katoliki duniani. Kesho inatimiza miaka 80 ya uhuru iliyoupata kutoka Italy.
Makala...
Hivi sasa baadhi ya wabunge nchini wameanza vituko na kuafanya kila wawezalo ili kuona kama wanaweza kuchaguliwa tena.
Licha ya kuwepo wengi lakini yaliyoanza kufanywa na hawa
Balozi Khamisi...
Ndugu viongozi wakuu wa nchi,
kuna darasa la bure kabisa kwa viongozi wa nchi yetu.
Mtajifunza ni wapi mmekosea, mtapata feed back ya uongozi wenu bure kabisa.
Mtajua nini matarajio ya wananchi...
Jamani kweli kuna wakati tunazaa kuondoa maradhi tumboni!! Kijana kamuua mama yake huko tabata kisa alikuwa anataka nyumba wanayoishi iuzwe familia, mama, na kijana wake mwingine ambaye alikuwa ni...
1st woman: Hi! Wanda.
2nd woman: Hi! Sylvia. How'd you die?
1st woman: I froze to death.
2nd woman: How horrible!
1st woman: It wasn't so bad. After I quit shaking from the cold, I began to...
Pentecostal pastors and many other people are known by their fruits. This question and answer section has been set up to test your knowledge about the most famous Pentecostal pastors. As i like to...
Je,Wajua gharama ya kutalii katika hoteli kubwa na maarufu jijini Dar? Mwenzangu utashangaa gharama ambazo mabwenyenye ulipa kwa usiku moja kulala mle ndani.Aangalia mwenyewe...
SHIRIKA la Umeme (Tanesco), ambalo limekwama kutekeleza mpango wake wa kupitisha nyaya za umeme zenye msongo mkubwa juu ya eneo liliko Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, limesema linafanyia...
Najua humu ndani we all love our country Tanzania and r so proud of it...na tupo tayari tena bega kwa bega to fight for it....Maana we are all crying for change...na ndiyo maana tuna fight na...
Nipita katika moja moja ya mahitaji yangu nikakutana na hawa mabwana wanaitwa tanesco pale magomeni;kumejaa uchafu mtupu sidhani kama wana kiongozi anaewaendesha;yaani kuanzia unapoingia;sura...
Unaona hapo juu nimekupiga thanks na mie pia niwekee thanks hapo chini...............
Ah sasa mbona unasema asante tu weka thanks hapo chini.......
The following users .............say thank you...
Manji, Jeetu Patel waichezea Serikali
Mwandishi Wetu
Januari 6, 2010
Wachelewesha matrekta ya 'Kilimo Kwanza'
MRADI wa matrekta kwa ajili ya mpango wa uboreshaji wa kilimo nchini-Kilimo Kwanza-...
Jamani kuna habari nyingi ambazo zimeandikwa au kujadiliwa humu JF lakini baada ya muda nazisoma katika magazeti ya udaku na vyombo mbali mbali vya habari nchini! Je, ina maana kwamba JF ni kitivo...
Re: Kila kitu sisi ni hovyo hovyo
Quote:
bht
kwani masanilo ulizani utakuta mabadiliko????? infakti we are from better to worse!!! welcome home/back
Kitu Kimoja kizuri Mademu wa bongo mpoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.