Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
ni kama dakika ishirini zimepita.......... basi aina ya FRESH COACH lilianza kwa kupata pancha tairi la nyuma,then kukawa na msuguano uliopelekea kuanza kuungua moto hiivi tunavyoongea BASI...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakubwa, kuweni makini muwapo maofisini kwenu au mnapopaki magari maofisini. Kuna rafiki yangu mmoja yuko Alpha house amenipa taarifa ya kusikitisha kuwa kuna mzungu mmoja pale ameibiwa gari...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
It has been more than six weeks siince the Nigeria's President Musa Yar'adua left the country for medical treatment in Saudi Arabia. He left the office without transfering power to his Deputy...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
AP – FILE - Tsutomu Yamaguchi poses during a news conference at Nagasaki City Hall in Nagasaki, southwestern … By JAY ALABASTER, Associated Press Writer Jay Alabaster, Associated Press Writer...
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Kabla hujaanza kusoma tembelea hapa: https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/48898-kongamano-la-wanataaluma-katika-baadhi-ya-picha.html...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The Corporate language "We will do it" means " You will do it" "You have done a great job" means "More work to be given to you" "We are working on it" means "We have not yet...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
What I meant to say was, Is Circumcision permited in the Koran? There are clear verses in the Qur'an against circumcision (i.e. 95:4, 23:14, 27:88, 32:7, 80:17-19 & 4:119-120). The practice of...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Love or loathe him, Mzee Joseph Butiku is a man you cannot simply pass eyes through. I personally admire him like I used to be in awe of Mwalimu Julius K. Nyerere (RIP). The two seem to share the...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa wa Tanzania wengi waliopo nje ya nchi hutumia internet na vyanzo vingine kupata habari za mwenendo wa siasa Tanzania. Mara nyingi ukiwa nje ya nchi ukiwa unafwatilia habari za siasa nchini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jamani nimeona ukitaka ku-search hapa JF unatakiwa kujibu random question. ukijibu, mara unaambiwa umekosea random question, ukiitafuta hiyo andom question nakuta unauliwa swali la darasa la pili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Fredy Azzah TUME ya Maadi ya Utumishi wa Umma, imesema ripoti ya mali ya watumishi wa umma, itakamilika baada ya wiki mbili zijazo. Akizungumza na Mwananchi jana, Ofisa habari wa tume hiyo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii mwaka 2010 inaisha lini jamani?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Closed
KWA hisani ya manispaa ya Kinondoni msikiti wa Mtambani karibu na hospitali ya Dr. Mvungi na ubavuni mwa soko chafu na lenye harufu mbaya kuliko yote Tanzania umetunukiwa kuwa na udi na uvumba wa...
0 Reactions
59 Replies
7K Views
MAJAMBAZI wamewapora polisi bunduki mbili aina ya SMG, risasi 60 na kuwajeruhi mjini Songea. Askari hao wamelazwa katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika hospitali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais Yahya Abdul-Aziz Jemus Junkung Jammeh GAMBIA ni nchi ndogo kuliko zote barani Afrika katika pwani ya magharibi iliyozungukwa na nchi ya Senegal sehemu zote...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau mlioko karibu na uwanja wa ndege wa Arusha hebu tupeni habari kuna ndege yenye reg no 5H-PAY ya kampuni ya Zan Air iko kwenye majani nje ya runway na abiria wake wametokea kwenye emergency...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii sekta ya utalii Zanzibar inaingiza pesa nyingi sana, lakini maskini wa Mungu pesa yote (60%) inaenda Italy. Ukiangalia idadi kubwa ya watalii Znz ni kutoka Italy hawa wanakodi ndege toka kwao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Mwaka 2010 ndio uko mwanzoni kabisa pamoja na ni vizuri tuangalia matisho ya uhalifu unaoweza kufanyika kwa njia ya mtandao kwa mwaka huu ili wengi wetu waweze kuwa makini zaidi . Si unajua...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimekaa na kuwazua hivi je ni kwanini wachawi ni watu masikini sana na wanaoishi maisha duni yasiyo na mbele wala nyuma? Nimewaza na kuwazua lakini jibu sijalipata. Mimi binafsi natamani sana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna tetesi kwamba Vicky Mtetema kapata U-country Director wa shirika moja linaloshughulika na haki za Ma-ailbino - Under the Same Sun, lenye makao makuu nchini Canada! Tetesi zaidi ni kwamba...
0 Reactions
78 Replies
12K Views
Back
Top Bottom